Susy
JF-Expert Member
- Feb 5, 2011
- 1,431
- 221
mama yangu alishawahi kuniambia kuna wanawake walio pooza kucha!! ndio haoooo, utakuta ndio wanaume zao wanawaruka ukuta wao bado wametulia tu, tena wanaona kupendwa ndio huku! wanaletewa watoto ndani ya ndoa wao wanashukuru Mungu!!
Inahitaji moyo sana!! mimi sijapooza kucha like that!!
Inahitaji moyo sana!! mimi sijapooza kucha like that!!