Last KING Ontuzu
JF-Expert Member
- Jul 22, 2016
- 721
- 1,161
- Thread starter
-
- #81
Amasimbe agulya na guja biya ugutola nkoomunhe lisimbe atole.
Masimbe dodatolaga abise nimho omunhe alechime guke nkoi
Sent using Jamii Forums mobile app
Tafuta mwingine apo kakuweka kama spare tyre tu.Habari wakuu,
Nawakumbusha tuu tuendelee kuchukua tahadhali dhidi ya corona,kwa sasa Tanzania corona haivumi lakini ipo na inaua kimyakimya.
Turudi kwenye mada,Kijana mwenzenu nilianzisha uhusiano na mwanamke mmoja umri wake miaka 25 kwa sasa tulikutana mwaka 2018 jijini Dar tulikuwa tunaonana japo kwa nadra sana,mara nyingi tuliwasiliana zaidi kwa simu,mara nyingi nilimsisitiza aje japo geto mara moja anipe mzigo ilikuwa ngumu sana aliwahi kufika getoni kwangu mara moja tuu na akanibania kutoa mzigo bila sababu za msingi.
Nilikasirika sana kwa huo uamuzi wake baada ya kuona nimekasirika akanidanganya atakuja siku nyingine miezi ikapita bila kuja mwishowe nikapunguza mawasiliano nae mwaka ukapita tukawa tunawasiliana mara moja moja sana huku nikichukua tahadhali ya kupigwa vibomu na mtu nisiyekuwa na uhakika nae.
Baadae mwaka 2020 nikawa nimehamishwa kikazi kwenda kusini mwa Tanzania kwa kuwa nilikuwa sijaoa na nilipofikiria kumpata mwenzi wa maisha nilikosa kbs na sikuhitaji kuoa mtu wa kusini wazo likaniijia kuwa nimtafute huyu Grace wa Dar nifanye mpango nae wa maisha kwakuwa tulikuw tunawasiliana nae japo mara moja moja.nilimtafuta na kumweleza azma yangu na mpango mzima juu yake ndani ya mwaka huuhuu na akakubali taratibu tukaanza mawasiliano kwa kasi ya 4g ili kabla ya mwaka huu kwisha niweke chombo ndani
Changamoto niliyoipata sasa
1. Tangu tuanze mahusiano nae mwanamke huyu ameonesha kuwa msiri mno sijajua mambo mengi kuhusu yeye.Hata yale ya kawaida tuu kukwambia ni inshu ngumu ,Najitahidi nimjue kiundani hata kidogo lakini naona kabisa hayupo tayari,hata ukimuuliza tuu unakaa na nani hapo home,wewe ni mtoto wa ngapi na mengine madogo atakuzungusha mpaka utapotezea mara nyingi nilikuwa nampigia simu naongea nae muda mrefu ila yeye anakuwa msikilizaji tuu,ntajitahidi kuwa muwazi kwake ili nae ajiachie kdg ili nimjue vizuri lakini wapi,naambulia tuu kuitwa baby baby baby kila mstari wa sms
Sasa niliko mtandao wa halotel ndo unanasa vizuri na huwa nakuwa na airtime ya kutosha nikamuomba anunue laini ya halotel na nikamtumia hela nyingi tuu na nikamwomba asisahau kununua pia laini lakini mpenzi msomaji mpaka sasa ni mwezi laini haijanunuliwa nikimuuliza anasema sorry bby nitanunua tuu
2. Baada ya kuona huyu mtu response yake ni ndogo kwenye simu maana haongei sana na mimi nataka nimfahamu kiundani sina namna nikawaza nitumie mfumo wa maswali sasa sasa maswali nimechokwa mara moja analalamika namuuliza maswali mengi. Kwahiyo hata tukichat hamna cha maana ni salamu tuu na kuuliza unafanyaje baby ,umelala then usiku mwema baby
Kwa hizi dalili huyu mtu ananifaa na vipi nitumie mfumo gani ili nimfahamu kiundani?
Kupenda upofu mkuu napata wasiwasi kbs ila nakosa nguvu ya kutoka nahitaji external force ya kunikwamua maoni ya wadau yamenipa nguvuMwenye Kupenda Haoni Chongo Atasema Kengeza
Hapo Bila Shaka Mpo Zaidi Ya Mmoja Kinachofanyika
Anawatazama Huku Akipokea Pesa Zenu Kwa Njia Ya Mitandao.
Fanya Hivi Wewe Ni Donar Country (Unamtumia Pesa)
Acha Kufanya Hivyo Ana Wengine,
Wewe Ukituma Pesa Mwingine Ya Kutolea
Hujajua Wanaume 10 Wanaweza Kuombwa Tshs 5000
Ukaona Ndogo Wote Mkatoa
Hapo Hakuna Mchumba Zaidi Sana
Kusikia Kwa Kenge Hadi Atoke Damu Puani Na Masikioni
Habari wakuu,
Nawakumbusha tuu tuendelee kuchukua tahadhali dhidi ya corona,kwa sasa Tanzania corona haivumi lakini ipo na inaua kimyakimya.
Turudi kwenye mada,Kijana mwenzenu nilianzisha uhusiano na mwanamke mmoja umri wake miaka 25 kwa sasa tulikutana mwaka 2018 jijini Dar tulikuwa tunaonana japo kwa nadra sana,mara nyingi tuliwasiliana zaidi kwa simu,mara nyingi nilimsisitiza aje japo geto mara moja anipe mzigo ilikuwa ngumu sana aliwahi kufika getoni kwangu mara moja tuu na akanibania kutoa mzigo bila sababu za msingi.
Nilikasirika sana kwa huo uamuzi wake baada ya kuona nimekasirika akanidanganya atakuja siku nyingine miezi ikapita bila kuja mwishowe nikapunguza mawasiliano nae mwaka ukapita tukawa tunawasiliana mara moja moja sana huku nikichukua tahadhali ya kupigwa vibomu na mtu nisiyekuwa na uhakika nae.
Baadae mwaka 2020 nikawa nimehamishwa kikazi kwenda kusini mwa Tanzania kwa kuwa nilikuwa sijaoa na nilipofikiria kumpata mwenzi wa maisha nilikosa kbs na sikuhitaji kuoa mtu wa kusini wazo likaniijia kuwa nimtafute huyu Grace wa Dar nifanye mpango nae wa maisha kwakuwa tulikuw tunawasiliana nae japo mara moja moja.nilimtafuta na kumweleza azma yangu na mpango mzima juu yake ndani ya mwaka huuhuu na akakubali taratibu tukaanza mawasiliano kwa kasi ya 4g ili kabla ya mwaka huu kwisha niweke chombo ndani
Changamoto niliyoipata sasa
1. Tangu tuanze mahusiano nae mwanamke huyu ameonesha kuwa msiri mno sijajua mambo mengi kuhusu yeye.Hata yale ya kawaida tuu kukwambia ni inshu ngumu ,Najitahidi nimjue kiundani hata kidogo lakini naona kabisa hayupo tayari,hata ukimuuliza tuu unakaa na nani hapo home,wewe ni mtoto wa ngapi na mengine madogo atakuzungusha mpaka utapotezea mara nyingi nilikuwa nampigia simu naongea nae muda mrefu ila yeye anakuwa msikilizaji tuu,ntajitahidi kuwa muwazi kwake ili nae ajiachie kdg ili nimjue vizuri lakini wapi,naambulia tuu kuitwa baby baby baby kila mstari wa sms
Sasa niliko mtandao wa halotel ndo unanasa vizuri na huwa nakuwa na airtime ya kutosha nikamuomba anunue laini ya halotel na nikamtumia hela nyingi tuu na nikamwomba asisahau kununua pia laini lakini mpenzi msomaji mpaka sasa ni mwezi laini haijanunuliwa nikimuuliza anasema sorry bby nitanunua tuu
2. Baada ya kuona huyu mtu response yake ni ndogo kwenye simu maana haongei sana na mimi nataka nimfahamu kiundani sina namna nikawaza nitumie mfumo wa maswali sasa sasa maswali nimechokwa mara moja analalamika namuuliza maswali mengi. Kwahiyo hata tukichat hamna cha maana ni salamu tuu na kuuliza unafanyaje baby ,umelala then usiku mwema baby
Kwa hizi dalili huyu mtu ananifaa na vipi nitumie mfumo gani ili nimfahamu kiundani?
Kweli mkuu hata mimi watu wa kusini naona sitawezana naoHujawahi kuwa na ke kabla yake? Maana inaonekana ulazimisha mbuzi kunywa maji . Kiufupi hakutaki tafuta ke mwingine lakini si wa kusini ushauri wangu huo
Sent using Jamii Forums mobile app
Noted mkuuMkuu huyo hana mpango na wewe yuko kwako kwa mikakat yake binafsi uliponichekesha uliposema ndugu msomaj had Leo hajanunua linenimecheka kishenz
Sent using Jamii Forums mobile app
Aisee hawa viumbe ni majanga ! Vp mwishowe ilikuwaje mkuuAchana naye mkuu,hugo demu ana mtu au anaishi kwa mwanaume ila hajamwoa ,nina experience ya hivo ilinipata mara moja
Hahaha....Agochima nagoleka nkoi ogotola biya du.
Nilikuw nae mwingine niliyemtegemea zaidi ila bahati mbaya nilikuwa kwenye long distance relationship,kwa wasiwasi wa kuwa huenda nampotezea muda akakubali kuolewa na mtu mwingine nikabaki na milupo tuu ambayo hata haifai kuweka ndaniMkuu huyu mwanamke cyo wako. Wewe ndo una plan za kumuweka ndani ila yeye hana plani hizo. Ulikua umelenga huyu tu mkuu? Hama chap.
Sent using Jamii Forums mobile app
πππNipo na Grace hapa Dsm tunafunua na kufunika kipochi manyoya ngoja nimwambie akupigie simu kwa laini yangu ya halotel maana hela zote ashanionga
Mkuu nipe namba yake ,niunganishe aisee mi namtaka mtu wa home sio hawa wa hukuHahaha....Agochima nagoleka nkoi ogotola biya du.
Nina dada yangu sema nikupigie pande umuoe mkuu achana na huyo ambaye hajawa na utayari wa kuwa muwazi kwako.
Dada yangu mzuri sana na hakika hutachomoa.
Sent using Jamii Forums mobile app