Bora nikimpata huyo mmakonde maana nipo na watu wa kabila la Wamwera hawa shida yao ni kudumu kwenye ndoa ni mtihani yaani wao kuoa na kuachana then kugawana ndo maisha yao ,mimi hii sihitaji ndoa za namna hii
Ila hawana gharama yaani wewe ukiwa na elfu hamsini ya posa unaoa hutadaiwa mahari imeisha hiyo