Huyu mwanamke simwelewi

Huyu mwanamke simwelewi

Last KING Ontuzu

JF-Expert Member
Joined
Jul 22, 2016
Posts
721
Reaction score
1,161
Habari wakuu,

Nawakumbusha tuu tuendelee kuchukua tahadhali dhidi ya corona,kwa sasa Tanzania corona haivumi lakini ipo na inaua kimyakimya.

Turudi kwenye mada,Kijana mwenzenu nilianzisha uhusiano na mwanamke mmoja umri wake miaka 25 kwa sasa tulikutana mwaka 2018 jijini Dar tulikuwa tunaonana japo kwa nadra sana,mara nyingi tuliwasiliana zaidi kwa simu,mara nyingi nilimsisitiza aje japo geto mara moja anipe mzigo ilikuwa ngumu sana aliwahi kufika getoni kwangu mara moja tuu na akanibania kutoa mzigo bila sababu za msingi.

Nilikasirika sana kwa huo uamuzi wake baada ya kuona nimekasirika akanidanganya atakuja siku nyingine miezi ikapita bila kuja mwishowe nikapunguza mawasiliano nae mwaka ukapita tukawa tunawasiliana mara moja moja sana huku nikichukua tahadhali ya kupigwa vibomu na mtu nisiyekuwa na uhakika nae.

Baadae mwaka 2020 nikawa nimehamishwa kikazi kwenda kusini mwa Tanzania kwa kuwa nilikuwa sijaoa na nilipofikiria kumpata mwenzi wa maisha nilikosa kbs na sikuhitaji kuoa mtu wa kusini wazo likaniijia kuwa nimtafute huyu Grace wa Dar nifanye mpango nae wa maisha kwakuwa tulikuw tunawasiliana nae japo mara moja moja.nilimtafuta na kumweleza azma yangu na mpango mzima juu yake ndani ya mwaka huuhuu na akakubali taratibu tukaanza mawasiliano kwa kasi ya 4g ili kabla ya mwaka huu kwisha niweke chombo ndani

Changamoto niliyoipata sasa
1. Tangu tuanze mahusiano nae mwanamke huyu ameonesha kuwa msiri mno sijajua mambo mengi kuhusu yeye.Hata yale ya kawaida tuu kukwambia ni inshu ngumu ,Najitahidi nimjue kiundani hata kidogo lakini naona kabisa hayupo tayari,hata ukimuuliza tuu unakaa na nani hapo home,wewe ni mtoto wa ngapi na mengine madogo atakuzungusha mpaka utapotezea mara nyingi nilikuwa nampigia simu naongea nae muda mrefu ila yeye anakuwa msikilizaji tuu,ntajitahidi kuwa muwazi kwake ili nae ajiachie kdg ili nimjue vizuri lakini wapi,naambulia tuu kuitwa baby baby baby kila mstari wa sms

Sasa niliko mtandao wa halotel ndo unanasa vizuri na huwa nakuwa na airtime ya kutosha nikamuomba anunue laini ya halotel na nikamtumia hela nyingi tuu na nikamwomba asisahau kununua pia laini lakini mpenzi msomaji mpaka sasa ni mwezi laini haijanunuliwa nikimuuliza anasema sorry bby nitanunua tuu

2. Baada ya kuona huyu mtu response yake ni ndogo kwenye simu maana haongei sana na mimi nataka nimfahamu kiundani sina namna nikawaza nitumie mfumo wa maswali sasa sasa maswali nimechokwa mara moja analalamika namuuliza maswali mengi. Kwahiyo hata tukichat hamna cha maana ni salamu tuu na kuuliza unafanyaje baby ,umelala then usiku mwema baby

Kwa hizi dalili huyu mtu ananifaa na vipi nitumie mfumo gani ili nimfahamu kiundani?
 
Mzee mimi ninavyokujua hii sio akili yako tayari usharogwa kwa waganga...kwenye mapenzi usiwe serious sana na una wenge unampa mpango wako wa kumuoa hata humjui na hujamfunua kujua yaliyomo yamo na hajakuzalia mtoto
Aisee umeongea ukweli mwamba mimi siko ivyo kabisa sijui kwanini najikuta namhitaji yeye tuu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
wewe mtoto wa kiume usipoteze muda hapo!! Tafuta totoz ya kimakonde ikuzungushie kiuno kama pia..uweke ndani!! achana na huyo wa Dar unaweza ukahangaika muda mrefu kumbe ukaja twanga maji kwenye kinu..
 
Mtumie nauli akufuate ulipo hayo maswali na story unazotaka atakujibu mjegeje ukiwa una pasua anga la saba huko.
 
wewe mtoto wa kiume usipoteze muda hapo!! Tafuta totoz ya kimakonde ikuzungushie kiuno kama pia..uweke ndani!! achana na huyo wa Dar unaweza ukahangaika muda mrefu kumbe ukaja twanga maji kwenye kinu..
Bora nikimpata huyo mmakonde maana nipo na watu wa kabila la Wamwera hawa shida yao ni kudumu kwenye ndoa ni mtihani yaani wao kuoa na kuachana then kugawana ndo maisha yao ,mimi hii sihitaji ndoa za namna hii

Ila hawana gharama yaani wewe ukiwa na elfu hamsini ya posa unaoa hutadaiwa mahari imeisha hiyo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Dahhhh....
Nimrjikuta nawaza, alafu mwisho nimesikitika tu aiseee
 
Back
Top Bottom