RoadLofa
JF-Expert Member
- Mar 22, 2017
- 1,347
- 2,957
Kuna Mwanamke mtaani ni anakaa jirani na nyumbani kwetu siku za mwanzo nilikuwa nikikutana naye dukani napokwenda kununua vitu ananichangamkia sana na kwenye kusalimiana ananiambia nikiwa napita kwao niende kumsalimia
Basi bhana baada ya siku kwenda kwenda nikamuomba namba yake ya WhatsApp nikawa namchombeza kwenye status na kuchat naye kidogo sana, na nikamgusia I'm so interested with her, akauliza for real nikamwambia ndio hakujibu tena kitu nikakausha sikuchat naye tena
Sasa leo bhana nimepita kwao baada ya kuniona ameniuliza mara mbili mbona nipo kimya sana akimaanisha WhatsApp, sasa nashindwa kumwelewa nipo kimya kivipi?
Wadau nahitaji ushauri wenu
Basi bhana baada ya siku kwenda kwenda nikamuomba namba yake ya WhatsApp nikawa namchombeza kwenye status na kuchat naye kidogo sana, na nikamgusia I'm so interested with her, akauliza for real nikamwambia ndio hakujibu tena kitu nikakausha sikuchat naye tena
Sasa leo bhana nimepita kwao baada ya kuniona ameniuliza mara mbili mbona nipo kimya sana akimaanisha WhatsApp, sasa nashindwa kumwelewa nipo kimya kivipi?
Wadau nahitaji ushauri wenu