Huyu Mwanamke anazingua kichizi

Huyu Mwanamke anazingua kichizi

Dcxkobe

Member
Joined
Mar 5, 2023
Posts
57
Reaction score
137
Kuna binti mwaka 2018 nilimtongozaga akakubali tena akaonesha kunipenda ila tena nikaadha kumuona wanini.

Yaani kujibu sms hadi nijisikie yaani nilimkinai ata Bado sijamvua nguo alikua anani hendo sana lakini Mimi sijali nikikutana naye hata jiani najifanya nina haraka ili nisiongee nae tu na kila hata nikibadili namba halafu nikaja kutana nae ananiuliza mbona hupatikani.

Nasema nishabadili laini tunapeana mawasiliano tena ila Mimi nakua simtafuti ila yeye ndio ananitafuta tulienda hvo kwa mda Sana yan nilikua cna time nae yaani hadi nikutana nae tu barabaran adi tukawa tumekata mawasiliano sasa takriban miaka 3 tulikua hatujaonana.

Wiki iliyopita nilimuona aise mtoto kanona nkajikuta nimevutiwa nae Tena tukaongea vizur tu nkachukua adi na no zake. Ila nae saiv ananilingia ata sms hajibu inaniuma kinyama maana ana tako kubwa. Limejaa mafuta sijui nifanyaje ili anielewe Tena maana nishaharibu
 
_20230810_023554.JPG
 
Alikuwa Zuchu sasa kawa * Mobeto mtoto tak…o mpeto mpeto.
Kondom ya buku * nakula mbususu ghetto.
Mangi nime msahau sinunui * sabuni ya punyeto.

Naingia chumbani * Navuta mkoba wake mwandani.
Viwili sakafuni navibeba * na kuviweka mkononi.
Nilipiga kelele pombe * imenitoka kichwani HIV herufi zake ukimwi anao wa zamani.

Trakooo lake limenitoa * umakini sasa masikini nimeupata na mimi.
Tap pwa pwa * huo ndio mwendo wake
Wazamani akirudi * kuwa makini si bure anakuja na ukimwi.
Trakooo lake limenitoa * umakini sasa masikini nimeupata na mimi.
 
Kuna binti mwaka 2018 nilimtongozaga akakubali tena akaonesha kunipenda ila tena nikaadha kumuona wanini.

Yaani kujibu sms hadi nijisikie yaani nilimkinai ata Bado sijamvua nguo alikua anani hendo sana lakini Mimi sijali nikikutana naye hata jiani najifanya nina haraka ili nisiongee nae tu na kila hata nikibadili namba halafu nikaja kutana nae ananiuliza mbona hupatikani.

Nasema nishabadili laini tunapeana mawasiliano tena ila Mimi nakua simtafuti ila yeye ndio ananitafuta tulienda hvo kwa mda Sana yan nilikua cna time nae yaani hadi nikutana nae tu barabaran adi tukawa tumekata mawasiliano sasa takriban miaka 3 tulikua hatujaonana.

Wiki iliyopita nilimuona aise mtoto kanona nkajikuta nimevutiwa nae Tena tukaongea vizur tu nkachukua adi na no zake. Ila nae saiv ananilingia ata sms hajibu inaniuma kinyama maana ana tako kubwa. Limejaa mafuta sijui nifanyaje ili anielewe Tena maana nishaharibu
Hilo tako ndo linampa ujeuri, ndo anajiona keki.
 
akili yako inawaza matako tu, ulizingua sana ulidhani wewe ndio unagawa expiry date sio? Na ameshajua nia yako atakusumbua mpaka ukome atakutingishia adi akili igande. Ila we jamaa chenga kweli unabadili hadi namba kisa mwanamke.
Ni wazi hakuwa na shughuli yoyote ya maana. Kiufupi ni kijana wa mtaani tu. Sijui sasa yupo maisha gani.
 
Back
Top Bottom