RUV ACTVIST.
JF-Expert Member
- Jan 14, 2012
- 472
- 110
Haipendezi na wala sio ya kushangilia....tunaenda gizani,huyu mtu ni wa kumwogopa kama ukoma....huu ubabe sio....tukishatumbukia gizani hamna wa kufaidi wote tugongana vichwa
awamu hii inaweza kuwa na ufisadi kuliko hata iliyo pita, yote wanataka yawe ya kificho. kimzahamzaha walianza na bunge.........Haipendezi na wala sio ya kushangilia....tunaenda gizani,huyu mtu ni wa kumwogopa kama ukoma....huu ubabe sio....tukishatumbukia gizani hamna wa kufaidi wote tugongana vichwa
awamu hii inaweza kuwa na ufisadi kuliko hata iliyo pita, yote wanataka yawe ya kificho. kimzahamzaha walianza na bunge.........
Anajulikana sana huyu anayetaka kutuingiza gizani,tumwogope kwa sababu tukishazama gizani hamna wa kufaidi zaidi ya kugongana vichwa....Kweli imemwogopa sana maana hata jina hutaki kumtaja. Fungu GT, tumfahamu huyu anayekuogofya hivyo; twambie pia kwa nini tumuogope. Je, ni nani huyu?
Huyu nadhani atakuwa ni yule mtukufu saana anayekalia kiti kikuu pale mjengoni mitaa ya city centa pembeni ya majiKweli imemwogopa sana maana hata jina hutaki kumtaja. Fungu GT, tumfahamu huyu anayekuogofya hivyo; twambie pia kwa nini tumuogope. Je, ni nani huyu?
mfalme juhaKweli imemwogopa sana maana hata jina hutaki kumtaja. Fungu GT, tumfahamu huyu anayekuogofya hivyo; twambie pia kwa nini tumuogope. Je, ni nani huyu?