Ukiwa muongo uwe na kumbu kumbu , ww si ndo umeandika thread nyegine km hii na kudai alikuomba 50000 mara tena hii unasema 200000 hemu sema mkuu ukwel tutaelewaHabari zenu ndugu zangu bila shaka mko poa,,
kuna jambo linanisumbua naombeni ushauri wenu kabla sjafanya chochote ,,,ni hivi
kuna binti mmoja nilikua nae kwenye mahusiano kwa muda kidogo ,,nilipanga kumuoa kabisa baadhi ya ndugu zake wanalifahamu hilo
tar 12/2 mwaka huu alipigia simu na kuniomba pesa kidogo anashida nayo pesa ni 200,000 ,,
nikamjibu sina pesa kwa siku hio labda kesho njoo home uchukue,, hakujibu akakata simu
sikua na presha yoyote nilijua kachukia kwa muda tu,,
tangu hapo nikimpigia cm hapokei nikimtumia sms hajibu,,
ilipofika 14/2/ valentine day ,,alitumia siku hio kufanya jambo,, nikiwa nimerudi kwenye shughuli zangu nipo ndani nimepumzika ,,nkaskia mlango unagongwa nikaamka kufika nakutana na mtoto wa jirani wa kiume ameniletea bahasha akaniambia nimepewa kule nikuletee wewe nkasema sawa .
skujua ninani kamtuma yule mtoto ,
Nikafungua na kuanza kusoma
hakika ilikua siku mbaya sana kwangu kwakifupi aliniambia Mimi na yeye basi na tayari anabwana mwingine ,,kibaya zaidi akanitajia na jina la jamaa ambae namfaham,,
basi niliumia sana na mbaya zaidi nilikua nikiwaona wakiwa pamoja nyakati za jioni nikirudi job,
hapo nilimkumbuka mungu wangu niliumia sana lkn ninapokutana nao nawasalimia kwa furaha mpaka wanashangaa
tangu tar moja mwezi huu nimebadilisha njia staki kuumia bure,
lkn wiki iliopita kanipigia cm sijapokea akatulia
kanitumia sms kunisalimu nikamjibu akatulia,,
sasa Jana kanipigia cm kwa namba nyengine akaniambia kuna kitu anataka kuniambia kesho nikamuuliza kitu gani akasema nitakuambia tukionana ,,,jioni ya Leo narudi job nakuta ujumbe kua amekuja kuniulizia
sasa wadau nimfanyaje huyu dem Mimi ninahasira nae yeye hajui tu ,,,nikimtazama nakumbuka upuuzi alionifanyia inauma sana
Nishaurini wadau nimkwepe vp huyu kwasababu nikionnana nae naweza kufanya jambo la ajabu nikapata matatizo
huyo wa sasa hivi hakufai kiafya mrudie yule yule wa mwanzo ndio anajua kupunguza uzito wakobahati nzuri nilipata ambaye ananipa viti el-mubasher hadi nimerudi kuwa kama captein komba
je akija na ndumba!bora asionane naye kabisa!akija msikilize halafu mpotezeee .
mkuu mi naomba utupe mrejesho!natamani kujifunza kitu kupitia hili tukio!Habari zenu ndugu zangu bila shaka mko poa,,
kuna jambo linanisumbua naombeni ushauri wenu kabla sjafanya chochote ,,,ni hivi
kuna binti mmoja nilikua nae kwenye mahusiano kwa muda kidogo ,,nilipanga kumuoa kabisa baadhi ya ndugu zake wanalifahamu hilo
tar 12/2 mwaka huu alipigia simu na kuniomba pesa kidogo anashida nayo pesa ni 200,000 ,,
nikamjibu sina pesa kwa siku hio labda kesho njoo home uchukue,, hakujibu akakata simu
sikua na presha yoyote nilijua kachukia kwa muda tu,,
tangu hapo nikimpigia cm hapokei nikimtumia sms hajibu,,
ilipofika 14/2/ valentine day ,,alitumia siku hio kufanya jambo,, nikiwa nimerudi kwenye shughuli zangu nipo ndani nimepumzika ,,nkaskia mlango unagongwa nikaamka kufika nakutana na mtoto wa jirani wa kiume ameniletea bahasha akaniambia nimepewa kule nikuletee wewe nkasema sawa .
skujua ninani kamtuma yule mtoto ,
Nikafungua na kuanza kusoma
hakika ilikua siku mbaya sana kwangu kwakifupi aliniambia Mimi na yeye basi na tayari anabwana mwingine ,,kibaya zaidi akanitajia na jina la jamaa ambae namfaham,,
basi niliumia sana na mbaya zaidi nilikua nikiwaona wakiwa pamoja nyakati za jioni nikirudi job,
hapo nilimkumbuka mungu wangu niliumia sana lkn ninapokutana nao nawasalimia kwa furaha mpaka wanashangaa
tangu tar moja mwezi huu nimebadilisha njia staki kuumia bure,
lkn wiki iliopita kanipigia cm sijapokea akatulia
kanitumia sms kunisalimu nikamjibu akatulia,,
sasa Jana kanipigia cm kwa namba nyengine akaniambia kuna kitu anataka kuniambia kesho nikamuuliza kitu gani akasema nitakuambia tukionana ,,,jioni ya Leo narudi job nakuta ujumbe kua amekuja kuniulizia
sasa wadau nimfanyaje huyu dem Mimi ninahasira nae yeye hajui tu ,,,nikimtazama nakumbuka upuuzi alionifanyia inauma sana
Nishaurini wadau nimkwepe vp huyu kwasababu nikionnana nae naweza kufanya jambo la ajabu nikapata matatizo
Usiwasiliane nae huyo maana unaweza kumhurumiaKumbe tuko wengi tunaumizwa kwa design hiyo. Mimi ilishawahi kunitokea nikaamua kutulia kama maji kwenye mtungi. Siku zikapita, wiki, mwezi, miezi hata miaka. Hivi karibuni nimekutana naye. Kwanza it was a surprise, hakuna aliyetarajia kama tungeonana maana na namba za simu tulishapotezana. Aisee, utamhurumia binti amechoka maisha yamemgonga kisawasawa. Alafu mimi mambo swafiiiiiiiiii, nilimsalimia akaniomba namba nikampa sikutaka hata kupiga naye story, nikaingia ndani ya gari langu nikafunga kioo huyooooooooo. Akanitafuta kwenye simu nikawa nampa dry mpaka alilia machozi. Nikamwambia its too late mama, am somebody's husband and with kids. Sikumpa hata hela ya vocha nyambafu
Akemeeje akija na ndumba!bora asionane naye kabisa!
Usiwasiliane nae huyo maana unaweza kumhurumia
usichelewe bhanantaleta mrejesho nshamaliza kazi