Kweli yan tutafute hela wanaume...mie niliombwa lakin kuna siku nilitoa chap bila kuwaza..usiku napiga mahesabu nikajisemea kimoyomoyo "I made it"..sijaona impact wala kuhojiFala kweli😂😂
tunajua ni ujinga lakin tunafanyaSasa c unautaka mwenyewe🤣🤣🤣
Kanunulie hayo magauni afu ukaambie nataka uyavae nikuone ukiwa umependeza. Inshot nunua magauni anayopenda paku malizia mchezo jiongeze na wewe ila huyo mbona anataka sema ww Ndio unashindwa kumaliziaHabari zenu wana MMU.
Akili za wanawake sometime zinachekesha sana. Iko hv kuna mtoto mmoja wa kisingida mweusi huyo ana kiuno kama nyigu na mshepu mmoja matata
Imenibidi nicheke tu🤣🤣🤣🤣🤣Kiufupi wewe ni kumamamae yaani, samahani kwa hako katusi kadogo
Mwaka 2019Umekuja lini toka mkoani?
Tafuta mbinu za kivita umtafuneNa mimi na Madam mmoja hivi madam M yeye kila siku ananipanga na pesa anakula bana
Kivipi mkuu🤣🤣🤣Unaonekana una Misifa ya Kisengesenge sana
Huo uchawi wa kizungu sina kaka labda niazimeHauna uchawi wa kizungu(Gari)? Muweke kwenye ndinga Mwambie twende huko kwenye magauni pitiliza mpka geto mfanyie ukinjekitile
Nimekuelewa mkuu wacha nijiongezeKanunulie hayo magauni afu ukaambie nataka uyavae nikuone ukiwa umependeza. Inshot nunua magauni anayopenda paku malizia mchezo jiongeze na wewe ila huyo mbona anataka sema ww Ndio unashindwa kumalizia
Sent using Jamii Forums mobile app
Sawa mkuu ngoja njitahidiKwako mjanja mjanja Kwa wengine single mother, ex- ,mlupo,kahaba wangu, mzazi mwenzangu... Au nimezaa naye.......changamka umkule Hana jipya huyo
🤣🤣🤣🤣🤣Kweli yan tutafute hela wanaume...mie niliombwa lakin kuna siku nilitoa chap bila kuwaza..usiku napiga mahesabu nikajisemea kimoyomoyo "I made it"..sijaona impact wala kuhoji
Unamvalisha ww mwenyewe hataki humpi hapo ushindwe sasa. Watu wamejaza ujawepesi kwa style hz hz. MchanganyeN
Nimekuelewa mkuu wacha nijiongeze
Hiyo ni bonge ya idea mkuu nimeielewa kwa hapo lazima nimgonge tuUnamvalisha ww mwenyewe hataki humpi hapo ushindwe sasa. Watu wamejaza ujawepesi kwa style hz hz. Mchanganye
Sent using Jamii Forums mobile app
Sidhani kama kamzidi huyu huko kijitonyama.Habari zenu wana MMU.
Akili za wanawake sometime zinachekesha sana. Iko hv kuna mtoto mmoja wa kisingida mweusi huyo ana kiuno kama nyigu na mshepu mmoja matata sana tako kama kajambia amila yuko vzr asee naweza sema kwa kijitonyama hii katika top five ya madem wenye shepu basi atakuwa namba 2 kama sio
Komaa na.usioneshe kukamia saana fanya kama urafiki hvyo hivyo. Huyo unatakiwa umle kimasiara au kama hukukusudia wakati moyoni ww umekusudia na ukimvua usimuache salama mzee. Ukimuacha ndio by byHiyo ni bonge ya idea mkuu nimeielewa kwa hapo lazima nimgonge tu
Huyu yuko kijitonyama ipi mkuuSidhani kama kamzidi huyu huko kijitonyama. View attachment 1896206
Nimekupata vema mkuuKomaa na.usioneshe kukamia saana fanya kama urafiki hvyo hivyo. Huyo unatakiwa umle kimasiara au kama hukukusudia wakati moyoni ww umekusudia na ukimvua usimuache salama mzee. Ukimuacha ndio by by
Sent using Jamii Forums mobile app