dronedrake
JF-Expert Member
- Dec 25, 2013
- 23,220
- 54,869
duh, una spidi kuliko Flash wa DC Comicslife yngu ninazo mwakani 2012
duh, una spidi kuliko Flash wa DC Comicslife yngu ninazo mwakani 2012
Ha ha ha demu wake anamletea figusi kula tunda na keyboard inamletea figusi mwaka kuanza maisha.
Uliposema unamsaidia kifedha basi naona anakuona kama mtu wa kawaida ambaye akiwa na matatizo utamsaidia. Miaka 3 mko pamoja na pia ana miaka 25 ambaye matured sasa inakuaje anaogopa kwenda guesthouse. Inawezekana yafuatayo:
1. Ametoka katika Familia ya kidini na mtiifu sana anangoja ufunge ndoa lakini utampima ukiona mapenzi yake kwako hayana intensity na always anapenda kuongea na wewe kwahiyo sex is not priority.
2. Inawezekana anakuja kwako wakati ana shida za hapa na pale na kukubembeleza na wewe ndio unampa mkwanja kila mara kwahiyo anaona aendelee tu.
3. Mtu mwingine anakula ila hayuko Tahari kukuambia maana hatopata mkwanja tena.
Inabidi kwanza uchukue sehemu yako mwenyewe halafu umpime kuangalia kama kweli anakupenda au la. Inaonesha huyu mwanamke anakuona uko dhaifu kimapenzi ndio maana amekuambia yote hayo.
Una plan mzuri Sana za kuanza maisha 2012 Safi Sana kiongozi
Kingine unategemea kuoa after kutoka nyumban kwenu na huyo mlimbwende wako sina uhakika lkn huenda kuna asset umewekeza na umejipanga vilivyo kuanza maisha Safi Sana
Na mna mikakati gani na huyo bibie kunako kuelekea maisha ya Ndoa na Cha mwisho kua kwanza acha wenge la kukimbilia Ndoa braza settle kwanza na uwe na foundation
Ok,safi sana.Kazi ninayo nzuri tu ndugu ila maisha nilikuwa bado sijajipanga, cause nimemaliza chuo mwaka jana
👊🏻👊🏻🤣🤣🤣Ok unaplan za kuanza maisha mwakani 2012 sawa
Kakuta sio bikraTupe mrejesho mkuu