Bhukebhuke
New Member
- Jul 21, 2021
- 3
- 0
Ulasaze
ID bandia inapomkandia mwenye hela zakeHuyu sio mwekezaji bali ni tapeli alikubuhu
Amejimilikisha timu kinyume na Sheria, anawatumia mashabiki mbumbumbu na maamuma wa Simba kumkingia kifua.
Mwambieni Simba hawezi kuimiliki na ataondoka kwa aibu. Aende kwao akaanzishe timu yake, sisi simba asili hatumtaki.
Ameiibia simba vya kutosha, sasa basi
Alishakuwa na timu zikamshinda sababu hazikuwa na mashabiki akahamua kuja Simba sababu ina mtaji wa mashabikiHatutaki utapeli sisi, Kama Ana fedha akaanzishe timu yake Kama mzee bakheresa
Hilo mashabiki oyaoya hawalioni, wanafikiri Mo anaisadia Simba sc zaidi anavyonufaika yeye binafsi na familia.Alishakuwa na timu zikamshinda sababu hazikuwa na mashabiki akahamua kuja Simba sababu ina mtaji wa mashabiki
Hilo mashabiki oyaoya hawalioni, wanafikiri Mo anaisadia Simba sc zaidi anavyonufaika yeye binafsi na familia.
[/QUOT
ni heri ngamia kupenya ktk tundu kulik tajiri huuu msemo hauakisi kabsa ingelifaa ni heri ngamia kupenya kwenye tundu kulik maskinii