masopakyindi
Platinum Member
- Jul 5, 2011
- 17,882
- 13,172
Hata hivyo ampoteza ile natural lok, na amekuwa mubaya!Hakujichumbua...alifanya plastic surgery
Ni mswahili kwa maana ya asili yake, mwafrika.Kwanza sahihisha hapo huyo si mswahili au kila aliyekuwa mweusi ni mswahili?
Yeah! Ni kweli... na kiukweli sipendi sana hii tabia.Hata hivyo ampoteza ile natural lok, na amekuwa mubaya!
Huyu jamaa nakumbuka miaka ya 99 tulikuwa tumepanga nyumba mtaa mmoja yaani tulikuwa majirani kabla ya mim kurudi India na kuja kuishi Tanzania, MJ jamaa alikuwa akipendwa sana 24/7 hrs waandishi wa habari walikuwa hawakosekani nyumbani kwake! R.I.P MJ
Una uhakika gani sasa na wewe! Jamii Forums imekombine sana mkuu!!Sifa za kijinga
Una uhakika gani sasa na wewe! Jamii Forums imekombine sana mkuu!!
My thoughts!Sifa za kijinga
Kwa ku compose na kuimba tusijishaue, Michael Jackson alikuwa kiboko, na sii hapa nchini tu bali dunia nzima.Sifa za kijinga
View attachment 389710
Michael Jackson , mwaka 1972.
View attachment 389711
Michael Jackson mwaka 2001.
Mimi ni mpenzi sana wa good music, ingawaje sifuatilii sana personalities, lakini kwa huyu " mswahili" mwenzetu kujichubua hadi aonekane kama mzungu lilinisikitisha sana.
Nikiwa kijana "Off the Wall"," Billie Jean"," Black and White"," Bad" , "Thriller" ni kati ya vibao vingi nilivyo vishabikia kwa sana.
Hebu waTz tumhukumu huy Icon , alipatwa na masahibu gani kiakili?
Nini maana ya mswahili?Ni mswahili kwa maana ya asili yake, mwafrika.
Kwa ku compose na kuimba tusijishaue, Michael Jackson alikuwa kiboko, na sii hapa nchini tu bali dunia nzima.