Heavy equipment
JF-Expert Member
- Oct 13, 2012
- 1,446
- 976
Anafufua kiwanda cha korosho cha kabangu kwa pesa ya ujangili aliyoiba, analeta mapindizi gani kwenye uchumi? wakati unga wa sembe kilo 1=2000, sukari kilo 1=3000, cement mfuko 1=20,000 bati 1=20,000 huku kijini tutajenga lini? Korosho nalima mimi CCM wananipangia bei..wasubiri 2015 watacheki picha