Huyu mdudu gani wakuuView attachment 1096400
Huyo siyo mdudu. Ni mnyama. Anaitwa karunguyeye.Kwanza ukimgusa anajiviringisha, hicho kichwa kina kuwa hakionekan
Niliwahi kuskia kuwa supu yake inaongeza nguvu za chiwume
Kalunguyeye Huyo halafu ni dawa pia ya magonjwa yafuatayo.Huyu mdudu gani wakuuView attachment 1096400
Wahurumie maana muda sio mrefu watatoweka!Kalunguyeye Huyo halafu ni dawa pia ya magonjwa yafuatayo.
Nguvu za kiume, kurefusha uume kwa wenye vibamia, ni dawa ya mvuto Wa mapenzi hasa kumvuta mwanaume aliyekukimbia
Lakn kuna vitu vya kuchanganyia nayo,Wahurumie maana muda sio mrefu watatoweka!
KweliWapo wengi sana kilimanjaro hawa.
Dah... kikawaida...sayansi ya darasa la 4...mdudu Ni kiumbe asiye na uti wa mgongo...mwili wake huwa na sehemu kuu 3...kichwa, kifua na tumbo...vilevile huwa na miguu6 pamoja na antenna 2Huyu mdudu gani wakuuView attachment 1096400




Haya mambo hata sijui kama yana application kwenye real life.Dah... kikawaida...sayansi ya darasa la 4...mdudu Ni kiumbe asiye na uti wa mgongo...mwili wake huwa na sehemu kuu 3...kichwa, kifua na tumbo...vilevile huwa na miguu6 pamoja na antenna 2![]()