Huyu mdada wa Dar atanifelisha michongo

Tangu mwaka uanze huu tuna ugomvi anataka biashara ya kufanya,kila saa yeye biashara tu na nyumba yangu anasema ni iuze tutafute kiwanja Dar tujenge yeye hawezi kuishi mikoani nyumba ipo location mbovu.

Hapa mahari nimepata lakini nina wasiwasi mkubwa sana kuhusu huyu mwanamke, nina nia ya kumuoa ila anaonekana ana tamaa sana. Nampenda sana ila nahisi kukata tamaa kabisa.






Hizo paragraphs mbili zinajitosheleza kufanya maamuzi magumu sahihi.

Huna mchumba hapo ila umepata chuma ulete. Na ukimuoa tu, tarajia kufa kiuchumi kabisa na siku ukiishiwa atahama kwako.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mwambie huyo jamaa atoke nje ya nyumba yake ajipige pige Mikono kifuani huku akisema MIMI NI FALAAAAAA

dodge
 
Jifanye huna akili soon utapata unachotafuta

 
Huyo ni mzee wa fursa mkuu mwanzo aliona huna uelekeo akakuweka pending, sasa hv ameona uko njema ndo anajileta sasa ukitaka kuumia na kujuta maisha yako yote oa huyo manzi! Hajakupenda yuko kikazi zaidi.
 
Hivi umeshikiwa akili au, ipo wazi kabisa hamna muolewaji hapa ila unaomba ushauri


Sent from my iPhone using JamiiForums
Kweli kabisa, tatizo jamaa yuko penzini nafikiri hata huu ushauri kwake, moyo unataka akili haitaki...
 
dah, so sad but no way.... acha ntulie tu
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…