Huyu mdada vip?

Huyu mdada vip?

Habari JF
Kuna demu mmoja nilkua nachati nae as a friend tuu hatujawahi kua na mahusiano ya mapenzi

Sasa juzi nikamtmia picha ya WiFi yake whatsap daaah skuamini alini kasirikia hatari na ameniblock whatsap,insta na Fb nikimtmia message ajibu nikatmia namba mpya nikampgia cm akamuambia mbona umeniblock kwe social network zote akanambia sikutegemea akakata cm
Mwenzake akanambia umemfanya nini J nikamuambia sijamfanya chochote akasema mbona mda wote analia na anataja tuu jina lako? Nkamuambia mm sijamfanya kitu akasema poa sasa najiiza ni kwa nini? Anafanya haya yote?
Wanawake bwna ni ngumu sana kuwaelewa
Je mm nimueleweje huyu mdada?


polee?

mnasoma darasa moja?
au yeye yuko Form three ARTS?
 
Inaonekana alikua na crush juu yako. Pengine alienda mbali zaidi kwa kukutangaza kwa marafiki zake kwamba wewe ndo shemeji, n.k.

Kama katika urafiki wenu wa kawaida haukuvuka mipaka, basi hauna kosa. Atakulaumu kwa lipi?
 
Back
Top Bottom