Melancholic
JF-Expert Member
- Oct 12, 2018
- 3,546
- 6,502
- Thread starter
-
- #81
Toeni maelezo yaliyonyooka tuwaelewe sio mnaongea nusu nusu na ammaliziMwelimishe tu aachane na habari za kumsaundisha mtu halafu anasubili ajibiwe kama kakubaliwa au laaa
Hv vitu vipo kila mahali mkuuKwahio hayo ndio mnayofanya mkiwa jeshini huko!
Nimekuelewa mkuu😂😂😂😂😂😂😂😂 kamuona ndezi tu au sio!
Hii michezo ya mapenzi ukiwa Amateur ina namna ya pekee ya kukufanya kituko mbele za watu!
Jamaa hajui kuwa demu asipopokea simu zako ni kuwa anapokea za mwenzako ila kwako hayuko interested! Solutiona tafta pisi ingine inayokuelewa usongeshe nayo life
Mambo gani mkuu nimefanyaKua kiakili anakuona hujitambui kwa mambo unayofanya. Anyway imeandikwa Usitamani
Upi sasaPunguza Uboya
Safi sanaNimekuelewa mkuu
Kwa hapo jiweke sawa wewe acha upumbavu. Tafuta demu mwengine hapo hapo mazoezini umtupie vocal!
Leo nimetry kanikimbia mkuuHahahahah we kwani ukaribu lazma upige simu mjomba? Huyo simu zako hazitaki deal nae ana kwa ana ili akuchane live!
Mie kwa level zangu demu akinletea huo utoto namkacha tu sitakagi upuuzi wa kuzungushana 😅
Daah..ahsante nimeelewa ila sometime nyinyi amnaga formulaHana shida wewe ndo mwenye shida mdogo wangu,
siku nyingine badilisha mtindo wa utongozaji, ukishapewa namba,anza kujenga mazoea kwanza,
jenga urafiki mpigie simu msalimie bila kumtongonza,mtumie sms mjulie hali,kadri mnavyozoeana omba appointment umtoe hata lunch,lunch ya kwanza usimtongonzeutamwambiaga kama unampenda mbele huko,na hata ukimwambia usitake akupe jibu,we mwambie tu unampenda basi atajua mwenyewe
Hakutaki huyo demu yaniLeo nimetry kanikimbia mkuu
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Akifosi fosi simu zitapokelewa ila zikiambata na vibomu vya kurusha kwa mkono 😅😅😅 yani kila simu ikipokelewa ni mzinga hadi dogo atakimbia mwenyewe
Usicheke dogo,, hutaamini yani🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Habari za muda huu wana jf.
Huwa nina kawaida ya kwenda zoez kila asubuhi kuna uwanja wa shule somewhere huwa tunajumuika watu kibao kuweka viungo vya mwili sawa hapa hapa dar.
Sasa kuna mtoto mmoja nikawa nimemuelewa mimi namfaham ila yeye anifaham, bac juzi kati nilikutana nae somewhere jirani na napoishi nikamsimamisha tukazungumza kwa uchache akanielekeza maeneo anayoishi mwisho nikaomba namba akanipa sikuhiyo nikamkaushia.
Next day night nikampigia tukaongea sana nikaomba outing kwa kumwambia kwamba nina mengi ya kuzungumza nae dem kachomoa akasema kama sitojali naweza kumwambia hata hapa anaweza kunielewa bac nikatupia vocal dem akanisikiliza kwa umakini sana ila baada ya muda aliniomba ale kwanza then nimchek after 10 minute mimi sikumchek kabisa siku ikapita kesho nikamchek kwenye saa 5 usiku nikamuuliza vp dem kaona shida kutoa jibu kavunga kachoka kaniambia nimuache alale then nimtafute kesho.
Maajabubaada ya pale yule dem ajawahi kupokea cm yangu na text ajibu juzi nimekutana nae ground dem ananionea aibu yani confidence hana kabisa, muda wa kutoka nikamfata nikamuuliza vp kuna shida dem akasema amna shida nikamuuliza mbona cm yangu upokei akasema maybe alikuwa na kazi but amna shida wala sijamkosea chochote nkamwambia kuwa open kama nakukwaza nambie dem akaendelea kusisitiza kwamba nipo sawa na sijamkwaza popote.
So nikamuuliza vp akaniambia tutaongea baadae kwenye cm tukaagana akaondoka, sikumtafuta kama siku mbili ila ground tutaonana mtoto ananiangalia sana halafu kama anakosa comfidence yani tukiangaliana hv anakwepesha macho kwa aibu.
Maajabujana usiku pia nimemtafuta akupokea cm asubuhi tumeonana ground dem anaona aibu kishenzi halafu ananiangalia sana.
Sasa nashindwa kumuelewa huyu dem vp maana nilishamwambia awe wazi kama namsumbua aseme anasema simsumbui kukubali ajakubali na kukataa ajakataa.
Sasa simuelewi huyu mtoto ananichukuliaje labda kwa anaeelewa anisaidie au aliewahi kukutana na watu wa dizain hii anaweza kunishauri maana mi binafsi nimekwama.
Samahanini nimeandika kwa spidi sana nipo kwenye gari ya jeshi natokea pwani ndani ndani huku
Kweli mkuu mbona macho yake yanaonyesha kabisa kanielewa na kama anitaki si aniambie mbona mi nlishamlahisishia kazi toka mwanzoHakutaki huyo demu yani
Hawezi sema anaona aibu ila ana mtu ambaye anampenda by 100% kwa sasaKweli mkuu mbona macho yake yanaonyesha kabisa kanielewa na kama anitaki si aniambie mbona mi nlishamlahisishia kazi toka mwanzo
Usicheke dogo,, hutaamini yani
Nimekuelewa mkuuHuyo ana bwana..na bwana wake ameshasandia mingo zako itakua kampiga marufuku mawasiliano na ww..nimemshauri akublock ila kasema akikublock kesho mazoezi atakuangaliaje? Nakushauri mpotezee tu utakuja kuumia..
Daah..wacha nikubali matokeoHawezi sema anaona aibu ila ana mtu ambaye anampenda by 100% kwa sasa
Duuh...poaHakutaki ila anaona shida kukuchana live hujui kusoma ishara hata picha huoni wewe!Hivo vingine anavyokuangalia sijui nini ni wewe unavyochukulia na kujiaminisha katika kichwa chako!
Nipe namba yke ukimpigia asipopokea na mie nimpigie tuone km atapokea