Ni huyu wa kwenye tangazo la airtel "niliahidi kumtunza daima"then anamlalia jamaa kifuani daa kapoooole! Sijui anaitwa nani? anayemjua kwa jina plz,au ni kaigizaji?
Huwa namcheki huyo dada,halafu najihisi nnafuraha ghafla,very cool.na hiyo shingo dah.
Huwa namcheki huyo dada,halafu najihisi nnafuraha ghafla,very cool.na hiyo shingo dah.
Ni huyu wa kwenye tangazo la airtel "niliahidi kumtunza daima"then anamlalia jamaa kifuani daa kapoooole! Sijui anaitwa nani? anayemjua kwa jina plz,au ni kaigizaji?
View attachment 212369keshachukuliwa na bilionea mmoja anaitwa le mutuz
Hakahaka jamani,me kananichanganya jamani jamani jamani.Hivi anajihusisha na nn huyu mdada mwee.
Mwenye kunipa japo access ya mawasiliano japo niwe nampa shkamoo kwani sidhani kama anaweza kunielewa kabwela mie.
Ni huyu wa kwenye tangazo la airtel "niliahidi kumtunza daima"then anamlalia jamaa kifuani daa kapoooole! Sijui anaitwa nani? anayemjua kwa jina plz,au ni kaigizaji?