Huyu mdada ana maana gani?

Huyu mdada ana maana gani?

Choosen85

JF-Expert Member
Joined
Jun 22, 2022
Posts
2,190
Reaction score
5,046
Wakuu tuwatakie kheri ndugu zetu wote waliouwawa MO29 MUNGU AWAHURUMIE NA KUSAMEHE DHAMBI ZAO.
Kuna mdada nlimsaidia mtaji wa kibiashara kidogo angalau apambane kupata chochote kitu yeye mtoto wake ( ni single mother )

Kiukweli hata kabla ya kumsaidia mtaji nlimtongoza akawa ananizungusha sana nikapotezea na uzuri wng huwa sichukii mdada anayenikataa au kunizungusha, na hata nlipompa mtaji pia nlimkumbushia akaendelea kunizungusha nikaona isiwe kesi wacha mi npotezee,

Sasa shida imekuja nlipompa mtaji nlimwambia awe ananipa 1000 kila sku maana ana uhakika wa kupata faida ya elfu 7 kila sku, na iyo buku huwa naifata kila baada ya sku 7 nafata elfu 6 maana jpl hafanyi kazi. Shida sku hz nikfata kahela kangu mara aweke mapaja wazi, mara ajshke K, nikmwambia twende nikumege anakataa yan vituko sku nyngn mara aniambie hela kaila kabaki na elf2 mi namwambia nmekuachia ikusaidie jtahid wk ijayo. ila mi swala la kummega halipo tena,
 
Ulimkopesha bei Gani ?
Weka namba hapa chini nikurudishie hela yako uache kwendakwenda hapo

Mwanamke mwenzangu huyo biashara imekuwa ngumu hela ya kukulipa Hana anataka akupe mzigo mmalizane

Kiufupi anataka kukupa sio kwamba kapenda ni shida
Sasa na clear Mimi on her behalf mambo yasiwe mengi
 
Ulimkopesha bei Gani ?
Weka namba hapa chini nikurudishie hela yako uache kwendakwenda hapo

Mwanamke mwenzangu huyo biashara imekuwa ngumu hela ya kukulipa Hana anataka akupe mzigo mmalizane

Kiufupi anataka kukupa sio kwamba kapenda ni shida
Sasa na clear Mimi on her behalf mambo yasiwe mengi
Kibabe sana Jane
 
Ulimkopesha bei Gani ?
Weka namba hapa chini nikurudishie hela yako uache kwendakwenda hapo

Mwanamke mwenzangu huyo biashara imekuwa ngumu hela ya kukulipa Hana anataka akupe mzigo mmalizane

Kiufupi anataka kukupa sio kwamba kapenda ni shida
Sasa na clear Mimi on her behalf mambo yasiwe mengi
nilimpa 150,000 kama mtaji, vifaa vya biashara ya mgahawa viligharimu 120,000. Moja siwez weka namba yng hapa maana sjawai msumbua kumdai anaposema hela kaila, pili kwa usalama wng spo tyr kutoa namba hapa, tatu hiyo pesa kasaidie ndugu zako au familia yako achana na mambo ya watu ukzngatia sjasema ninamdai au kulalamikia fedha.
 
Huyo hana hela tena, au kazoea kumalizana na wadeni wake kwa style hiyo wewe sio wa kwanza kama iko ndani ya uwezo wako hiyo hela ipotezee, na usimle mkaushie !

Ukilala nae itakua chanzo cha wewe kudidimia utaombwa nyingine , na utaongezewa shida lukuki hapo.

Kiungwana samehe deni.
 
nilimpa 150,000 kama mtaji, vifaa vya biashara ya mgahawa viligharimu 120,000. Moja siwez weka namba yng hapa maana sjawai msumbua kumdai anaposema hela kaila, pili kwa usalama wng spo tyr kutoa namba hapa, tatu hiyo pesa kasaidie ndugu zako au familia yako achana na mambo ya watu ukzngatia sjasema ninamdai au kulalamikia fedha.
Mhhh wakorinto 13 mpaka 10
 
Ulimkopesha bei Gani ?
Weka namba hapa chini nikurudishie hela yako uache kwendakwenda hapo

Mwanamke mwenzangu huyo biashara imekuwa ngumu hela ya kukulipa Hana anataka akupe mzigo mmalizane

Kiufupi anataka kukupa sio kwamba kapenda ni shida
Sasa na clear Mimi on her behalf mambo yasiwe mengi
Safi sana , wanawake wengi sana wanadhalilishwa kwa sababu ya shida tu
 
Huyo hana hela tena, au kazoea kumalizana na wadeni wake kwa style hiyo wewe sio wa kwanza kama iko ndani ya uwezo wako hiyo hela ipotezee, na usimle mkaushie !

Ukilala nae itakua chanzo cha wewe kudidimia utaombwa nyingine , na utaongezewa shida lukuki hapo.

Kiungwana samehe deni.
mmmh nadhan umemaliza kila ktu hapa sidhan kama kuna ushauri mwngne wa maana kama huu nspoyashka haya bs na acha niangamie tu. Pesa iko ndan ya uwezo wng na ndo maana sjawaimpgia kelele khs pesa na hata thread yng ukiisoma hakuna mahali nmelalamika silipwi.
 
mmmh nadhan umemaliza kila ktu hapa sidhan kama kuna ushauri mwngne wa maana kama huu nspoyashka haya bs na acha niangamie tu. Pesa iko ndan ya uwezo wng na ndo maana sjawaimpgia kelele khs pesa na hata thread yng ukiisoma hakuna mahali nmelalamika silipwi.
Mfungie tu kioo, salam fresh kama ni majirani ! Usiende tena kufata we kula tu buyu.
Ukiona analeta za kike kike mwambie tu haina haja ya kujivua utu wako kwa ajili ya hicho kiasi kidogo , Nimekusamehe tu.

Utakua umesave mengi mwanetu , atakuogopa na atakua na aibu kukupiga kizinga kingine.
 
Back
Top Bottom