Choosen85
JF-Expert Member
- Jun 22, 2022
- 2,190
- 5,060
- Thread starter
- #21
ndo tabia zenu mnapendaga vya bure mnawazaga hela za wanaume, wapo wadada wana kaz zao na biashara zao bt kudanga ni nature tu....ni wp nimemdhalilisha uyo mdada? Ni wp nmesema ninamtaka ksa nmempa mtaji? Ni wp nimesema ninamdai na kashndwa kunilipa? Ni wp nimelalamikia hela nliyompa? Huyo anayesema niweke namba hapa anilipe hiyo pesa hana nina uhakika hana bahati nzuri raia wa jf hawajawai nisumbua humu kila mtu ni tajiri hana njaa kbs ila uhalisia hauko ivo kbs makapuku humu wamo wa kutosha tu hata uhakika wa milo 2 tu tizi humu wamo ila mbwembwe sasa ukutu huyu mwenzio yupo yupo tu hapo kwa aziz ally hata buku la vitafunio hana, humu makelele tu.Safi sana , wanawake wengi sana wanadhalilishwa kwa sababu ya shida tu