Huyu mbunge mmmhhh sijui!!!!!!!

Huyu mbunge mmmhhh sijui!!!!!!!

suranne

Senior Member
Joined
Aug 12, 2010
Posts
120
Reaction score
246
Kwa kweli na kama kweli CHADEMA mmeamua kufanya kazi naomba huyu mbunge wetu wa Ukerewe aangaliwe au afundwe maana ndani ya muda mfupi amekuwa hajiheshimu kwa kulewa ovyo na kugombea wanawake baa nafikiri si weledi unaopiganiwa na chama chake,pia hatukatai kufanya maboresho kwao au kwake ila is too early kununua magari na nyumba lukuki kabla hata hujatatua japo ahadi yako uliyoahidi wananchi Slaa alivyokuja ya kununua jokofu la hospitalini katika mshahara wako wa kwanza bungeni.
MY TAKE; Kuna uwezekano mkubwa jimbo ukaliuza kwa kutokua makini na mambo madogo kama hayo maana baba mzuri hawezi kulewa wakati watoto wanalaa njaa.
Naomba kuwasilisha.:smash:
 
Kwa kweli na kama kweli CHADEMA mmeamua kufanya kazi naomba huyu mbunge wetu wa Ukerewe aangaliwe au afundwe maana ndani ya muda mfupi amekuwa hajiheshimu kwa kulewa ovyo na kugombea wanawake baa nafikiri si weledi unaopiganiwa na chama chake,pia hatukatai kufanya maboresho kwao au kwake ila is too early kununua magari na nyumba lukuki kabla hata hujatatua japo ahadi yako uliyoahidi wananchi Slaa alivyokuja ya kununua jokofu la hospitalini katika mshahara wako wa kwanza bungeni.
MY TAKE; Kuna uwezekano mkubwa jimbo ukaliuza kwa kutokua makini na mambo madogo kama hayo maana baba mzuri hawezi kulewa wakati watoto wanalaa njaa.
Naomba kuwasilisha.:smash:
Pumpa tupu kajipange urudi tena no facts... shortly ni taarabu
 
nadhani chadema wana tabia ya kuupuzia habari kama hizi na kusema ni personal isue. sasa sidhani kama ni mtizamo sahihi.kwani mimi ninavyojua kiongozi anakuwa ni kiigizo chema katika jamii inayomzunguuka. kwahiyo ukisha kuwa na kiongozi mzinifu usidhani kuwa ipo siku atakemea uzinifu au uwe na kiongozi mlevi halafu utegemee atakemea ulevi. Kaka mtoa mada ivi ni kweli hizo tabia za huyo mbunge zimeanza baada ya nyinyi kumpa uongozi? hilo jimbo tena chadema walisha lipoteza.
 
Pumpa tupu kajipange urudi tena no facts... shortly ni taarabu

kaka huyu umemuonea. huyu kaleta taarifa wewe zifuatilie ujue kama ni kweli au uzushi, kwani kama ni za kweli kwa management ya chama hii si taarifa nzuri, ila wewe umekurupuka kumshambulia bila kuichukua hii taarifa kama starting point ya kumjua mbunge huyo. Au wewe umeona hizo ni sifa za kawaida kwa wabunge wa chadema?
 
Noted,sishangai for sure!
Ni sawa angeshinda Mwita waitara kule tarime awe mbunge,...
weeeeeeeeeee,....
Angekua anajikojolea hadi bungeni kwa jinsi anavo lewa,....
 
Noted,sishangai for sure!
Ni sawa angeshinda Mwita waitara kule tarime awe mbunge,...
weeeeeeeeeee,....
Angekua anajikojolea hadi bungeni kwa jinsi anavo lewa,....
 
Huko CDM fuatiliye hilo suala, kisha mmpe ushauri nasaha.
Mtoa taarifa amefanya kazi kwa sehemu yake, kumshambulia haisaidii.
 
Pumpa tupu kajipange urudi tena no facts... shortly ni taarabu

Ninakumbuka Mh.Mbowe wakati wa mazishi ya watu waliouawa kikatili(R.I.P)kule Arusha alisema"...tutapinga viongozi wabovu kokote iwe CCM,CDM Kwa sababu hata ndani ya Chadema kuna viongozi wabovu tutawapinga..."Mi naona jambo lifanyiwe uchunguzi kama ni ukweli basi Mh. Mbunge huyo ashauriwe!si kila kitu kilicho na negative impact kwa CDM eti ni pumba.Critical thinking haiendi hivyo!
 
Inahitajika moyo wa ujasiri kuwakosoa viongozi wa CDM,wanachama na wapenzi wa CDM tunaamini viongozi wetu wote ni malaika,miungu hawawezi kukosea,hatari yake tutarudi ktk enzi za zidumu fikra za m/kiti.Hii inatakiwa kuwa changamoto kwetu,tukubali kukoselewa.
 
Nilikuwa huko 2weeks ago, the info iz true, jaama anaharibu ile mbaya, hata wananchi wanamchukulia km mtu fulani wa vituko, anahitaji kurekebishwa kwa kweli otherwise 2015 jimbo litapotea lile.
 
Je kashafumaniwa au kushitakiwa?alikunywa pombe akafanya kosa ambalo lilipelekea kupigwa faini au kumkwaza mtu?je ameanza kulewa alipokuwa mbunge?kunywa pombe na kujiexpress kwa malavidavi na mambo ya mtu binafsi.lakini kama hafuatili ahadi alizotoa nadhani hapo ndo kuna tatizo.ahadi atimize.mia
 
Back
Top Bottom