Huyu kuku anaumwa ugonjwa gani?

nguvu

JF-Expert Member
Jun 13, 2013
21,076
19,875
Anatoa mapovu machoni, dawa yake nini ipi? Pia kuna kuku wanatagia sehemu moja unawatenganisha vipi ili kila kuku atagie sehemu yake.
IMG_20210224_073409.jpg

NB: Wanaishi banda moja
 
Anatoa mapovu machoni, dawa yake nini ipi? Pia kuna kuku wanatagia sehemu moja unawatenganisha vipi ili kila kuku atagie sehemu yake
NB: Wanaishi banda moja
Tafuta tylosin powder(kuku)
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom