Anatoa mapovu machoni, dawa yake nini ipi? Pia kuna kuku wanatagia sehemu moja unawatenganisha vipi ili kila kuku atagie sehemu yake
NB: Wanaishi banda moja
Kuhusu kuku wanaotagia pamoja waache tu usiwatenganishehata vifaranga vikitotolewa watalea pamojaAnatoa mapovu machoni, dawa yake nini ipi? Pia kuna kuku wanatagia sehemu moja unawatenganisha vipi ili kila kuku atagie sehemu yake
NB: Wanaishi banda moja
Kwenye kulalia mayai inakuwaje? Na ikitokea mmoja kaanza kulalia mwingine bado inakuwaje?Kuhusu kuki wanaotagia pamoja waache tu usiwatenganishehata vifaranga vikitotolewa watalea amoja
Kwenye kulalia mayai inakuwaje? Na ikitokea mmoja kaanza kulalia mwingine bado inakuwaje?Kuhusu kuki wanaotagia pamoja waache tu usiwatenganishehata vifaranga vikitotolewa watalea amoja
Dawa?Changamoto ya mafuta na kupumua yaani kideri
Tafuta tylosin powder(kuku)Anatoa mapovu machoni, dawa yake nini ipi? Pia kuna kuku wanatagia sehemu moja unawatenganisha vipi ili kila kuku atagie sehemu yake
NB: Wanaishi banda moja
ThanxTafuta tylosin powder(kuku)
Kama hujui usipotoshe soma uelimike,huyo kuku anadalili za mafua,kideri unakijua?Changamoto ya mafuta na kupumua yaani kideri
Sio kweli..wataharibu tu mayai...hawawez kulea pamojaKuhusu kuku wanaotagia pamoja waache tu usiwatenganishehata vifaranga vikitotolewa watalea pamoja