Njoly Paul
Member
- Dec 15, 2016
- 11
- 3
Hakuna uchochez huyu sizonjeIkishuka, itapanda tena daraja, halafu utastaajabu yale waliofanya Leicester City.
Ila mkuu..! hii post ni ya kichochezi
Hakuna uchochez huyu sizonjeIkishuka, itapanda tena daraja, halafu utastaajabu yale waliofanya Leicester City.
Ila mkuu..! hii post ni ya kichochezi
Akili za inzi huyo achana nae..Uchochezi hapo uko wapi...
Waishi kama Mungu? mmh!
Angekuwa hata anashaurika na benchi la ufundi, amekubuhu kwa dharau!Kocha mumemchagua mwenyewe,
Na pengine muda au mkataba wa huyo kocha ukiisha mtachagua tena,
Cha msingi ni kumuomba tu Mungu