Sakayo
JF-Expert Member
- Sep 10, 2015
- 56,375
- 161,378
Yaani umeniwahi mkuu, daahKama umeweza kutuambia sisi unashindwa nn kumwambia yeye tena mkiwa wawili humu tuko wengi sasa mkikutana ujikakamuwe vizuri umweleze ukumbuke tu kufanya haja zote kubwa na ndogo hili zisitoke wakati ukimueleza yako ya moyoni.