ni PM nikupe mbinu za kumnasa....! Hakika akijinasua basi..Habari zenu wana, kuna kaka mmoja huko kitaa nampenda sana ila kumwambia siwezi na sijawahi kumpenda mwanaume lakini huyu kiboko. kwa kifupi huyu kaka anafanya kazi za night cjui ni mlinzi ni kijana mwenzangu huwa tunapishana asubuhi mi nikiwa naenda kazini yeye anarudi kazini nimetokea kumpenda ila kumwambia siwezi na huwa tunapishana lakini atusalimiani sijui na yeye atakuwa ananipenda kuniambia hawezi na leo hii tumepishana tumebaki kuangaliana binafsi kwa sasa sina mpenzi... nasisitiza nampenda sana
Ushauri pls
this surely works.Here's the trick, next time mnapishana, dondosha chochote ulichonacho mkononi. Akijaribu kusaidia kuokota, hapo hapo mnaanzisha mazoea. Au unaweza kujidondosha mwenyewe pia.
Au just flash the guy tu. Mkipishana, pull up whatever is convenient to you, and let him see the merchandise.
MimiJamani wengine hatuna bahati kama hizi. Nani yupo tayari kunipenda.
Habari zenu wana,
Kuna kaka mmoja huko kitaa nampenda sana ila kumwambia siwezi na sijawahi kumpenda mwanaume lakini huyu kiboko.Kwa kifupi huyu kaka anafanya kazi za night sijui ni mlinzi ni kijana mwenzangu.
Huwa tunapishana asubuhi mi nikiwa naenda kazini yeye anarudi kazini nimetokea kumpenda ila kumwambia siwezi na huwa tunapishana lakini atusalimiani sijui na yeye atakuwa ananipenda kuniambia hawezi na leo hii tumepishana tumebaki kuangaliana binafsi kwa sasa sina mpenzi nasisitiza nampenda sana.
Ushauri please
Yah ni vizuri kumpenda mtu coz Mungu mwenyewe ametuagiza tupendane.good sana umetimiza agizo la Mungu kwamba mpendane ninyi kwa ninyiHabari zenu wana,
Kuna kaka mmoja huko kitaa nampenda sana ila kumwambia siwezi na sijawahi kumpenda mwanaume lakini huyu kiboko.Kwa kifupi huyu kaka anafanya kazi za night sijui ni mlinzi ni kijana mwenzangu.
Huwa tunapishana asubuhi mi nikiwa naenda kazini yeye anarudi kazini nimetokea kumpenda ila kumwambia siwezi na huwa tunapishana lakini atusalimiani sijui na yeye atakuwa ananipenda kuniambia hawezi na leo hii tumepishana tumebaki kuangaliana binafsi kwa sasa sina mpenzi nasisitiza nampenda sana.
Ushauri please
ahahahah mkuu nimefurahi afu nimependa ushauri wako.. iv ata sisi me tunaweza kufanya ivo ikiwa kama kuna ka dalili ka uoga kwenye mtongozoHere's the trick, next time mnapishana, dondosha chochote ulichonacho mkononi. Akijaribu kusaidia kuokota, hapo hapo mnaanzisha mazoea. Au unaweza kujidondosha mwenyewe pia.
Au just flash the guy tu. Mkipishana, pull up whatever is convenient to you, and let him see the merchandise.
ahahahah mkuu nimefurahi afu nimependa ushauri wako.. iv ata sisi me tunaweza kufanya ivo ikiwa kama kuna ka dalili ka uoga kwenye mtongozo
Mawasiliano ya macho yenu yakoje!Habari zenu wana,
Kuna kaka mmoja huko kitaa nampenda sana ila kumwambia siwezi na sijawahi kumpenda mwanaume lakini huyu kiboko.Kwa kifupi huyu kaka anafanya kazi za night sijui ni mlinzi ni kijana mwenzangu.
Huwa tunapishana asubuhi mi nikiwa naenda kazini yeye anarudi kazini nimetokea kumpenda ila kumwambia siwezi na huwa tunapishana lakini atusalimiani sijui na yeye atakuwa ananipenda kuniambia hawezi na leo hii tumepishana tumebaki kuangaliana binafsi kwa sasa sina mpenzi nasisitiza nampenda sana.
Ushauri please
Aaaah nazani ni mimi kuna dada mmoja huwa nakutana nae amevalia sketi, brows na skafu,, anapendezaaa.Habari zenu wana,
Kuna kaka mmoja huko kitaa nampenda sana ila kumwambia siwezi na sijawahi kumpenda mwanaume lakini huyu kiboko.Kwa kifupi huyu kaka anafanya kazi za night sijui ni mlinzi ni kijana mwenzangu.
Huwa tunapishana asubuhi mi nikiwa naenda kazini yeye anarudi kazini nimetokea kumpenda ila kumwambia siwezi na huwa tunapishana lakini atusalimiani sijui na yeye atakuwa ananipenda kuniambia hawezi na leo hii tumepishana tumebaki kuangaliana binafsi kwa sasa sina mpenzi nasisitiza nampenda sana.
Ushauri please
Rahisi sana, ukimuona anakuja kwa mbele yako jifanye umepoteza kitu chako unakitafuta nakwambia akikukuta unahangaika hivyo atakusemesha tu.. hapohapo ndo mwanzo wa mazungumzoNiliwaza hivyo hivyo ila mwenzangu naogopa yahitaji ujasiri kwa kweli
Sawa tumeshajua kuwa hauna mpenzi, jiandae kupokea wageni huko PMHabari zenu wana,
Kuna kaka mmoja huko kitaa nampenda sana ila kumwambia siwezi na sijawahi kumpenda mwanaume lakini huyu kiboko.Kwa kifupi huyu kaka anafanya kazi za night sijui ni mlinzi ni kijana mwenzangu.
Huwa tunapishana asubuhi mi nikiwa naenda kazini yeye anarudi kazini nimetokea kumpenda ila kumwambia siwezi na huwa tunapishana lakini atusalimiani sijui na yeye atakuwa ananipenda kuniambia hawezi na leo hii tumepishana tumebaki kuangaliana binafsi kwa sasa sina mpenzi nasisitiza nampenda sana.
Ushauri please
Acha kumdanganya!Owkey, kumbe uko JF, ni mimi nimetoka job mimi ni night auditor.
Karibu kwenye penze langu.
Ni mimi, usihofu.