Zero IQ
JF-Expert Member
- Dec 21, 2016
- 13,917
- 24,674
Bado sijaamka Asubuhi hii naanza kupatwa na Majaribu,
Jirani yangu wa kike Chumba cha pili tu hapo kanigongea Nimefungua mlango nikakuta kavaa kanga moja tu, bila salamu kaingia mazima mpaka ndani,
Nimemuuliza nikusaidie nini yupo anacheka cheka tu, kasema gesi yake imeisha amekuja kuomba achemshie Chai kwenye jiko langu la gesi,
Nimemuonyesha Jiko hapo ndani mi nipo kitandani,
Yeye yupo pembeni tu anajichemshia chai yake, amekaa kitandani kwenye pembe anasubiri ichemke, (gheto sina kochi wala kiti,)
Hiyo kanga moja aliyovaa na amenipa mgongo, tako liko teke teke aisee macho yangu yanagonga kiuononi kwake tu, alafu kila muda anainuka anajifanya kutazama kama imechemka,
Update.
Soon uzalendo utanishinda.
Update.
Alichokitaka amekipata atimae nimemaliza kazi yangu ya uchakataji ila sasa hofu yangu ni kwamba ataniletea mazoea na mimi sitaki.
Cc Zero
Sent using Jamii Forums mobile app
Jirani yangu wa kike Chumba cha pili tu hapo kanigongea Nimefungua mlango nikakuta kavaa kanga moja tu, bila salamu kaingia mazima mpaka ndani,
Nimemuuliza nikusaidie nini yupo anacheka cheka tu, kasema gesi yake imeisha amekuja kuomba achemshie Chai kwenye jiko langu la gesi,
Nimemuonyesha Jiko hapo ndani mi nipo kitandani,
Yeye yupo pembeni tu anajichemshia chai yake, amekaa kitandani kwenye pembe anasubiri ichemke, (gheto sina kochi wala kiti,)
Hiyo kanga moja aliyovaa na amenipa mgongo, tako liko teke teke aisee macho yangu yanagonga kiuononi kwake tu, alafu kila muda anainuka anajifanya kutazama kama imechemka,
Update.
Soon uzalendo utanishinda.
Update.
Alichokitaka amekipata atimae nimemaliza kazi yangu ya uchakataji ila sasa hofu yangu ni kwamba ataniletea mazoea na mimi sitaki.
Cc Zero
Sent using Jamii Forums mobile app