Huyu Ernest Massawe ni nani?

Nafahamu kuwa kampuni Ernst and Young ni multinational na ilianzishwa kitaambo sana,its a coincidence jamaa anaitwa Ernest Massawe na partner ni Ernst and Young,so alipokuwa partner ndo ikaitwa Massawe, Ernst and Young,hope ya gat ma point!
 
Nafahamu kuwa kampuni Ernst and Young ni multinational na ilianzishwa kitaambo sana,its a coincidence jamaa anaitwa Ernest Massawe na partner ni Ernst and Young,so alipokuwa partner ndo ikaitwa Massawe, Ernst and Young,hope ya gat ma point!

I do. Ila mwanzo bandiko lako ilikua kama vile yeye na huyo 'bwana Young' ndo walianzisha EY. Bora ulivyofafanua.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…