Huyu Dkt. Lucas Webiro ni nani?

Status
Not open for further replies.
jamani JF imevamiwa na makajajanja. huyu jamaa Webiro ni tapeli tu. anaishi arusha alikua mhasibu jiji arusha anakesi mahakamani.
huko bunda hana mashiko ni propaganda tu za kutafta umaarufu wa kisiasa.
kamanda acha majungu kwa huyu kamanda kiukweli humfahamu kabisa kusoma amesoma hata wapo wengi amefundisha wana jua waledi wake sio majungu kama haya.
 
jamani JF imevamiwa na makajajanja. huyu jamaa Webiro ni tapeli tu. anaishi arusha alikua mhasibu jiji arusha anakesi mahakamani.
huko bunda hana mashiko ni propaganda tu za kutafta umaarufu wa kisiasa.
acha majungu mwana jamvi toa hoja za kujenga taifa sio majungu je unadai nini kwa huyu kamanda huna hoja nenda Lumumba.
 
acha majungu hukusoma naye hata kidogo hujawahi kufanyia usaili sasa unataka nini kwa huyu kamanda acha huna hoja ya msingi kwa taifa hili.
 
Viongozi wa CHADEMA naomba kama wanafatilia huu uzi wajaribu kufatilia hizi habari za kesi huko Arusha na hayo mengine yanayosemwa kama ni kweli na kama hayana ukweli tuyapuuze tu na kama kuna ukweli hatua stahiki zichukuliwe dhidi yake

Lazima tuwe tofauti na CCM katika kuendesha Chama tusipuuzie kila kitu kisa kimesemwa na Magamba.
 
• Doctoral Degree [Ph.D in Economics] College of Business and Management Sciences at Makerere University, June 2011 with distinction award.

Sorry, pardon me for my ignorance. Is this a PhD by coursework? Otherwise, I have never met a PhD with this merit! Tuanza kumuelewa kuwa ni mzee wa vivumishi (adjectives)?
 
Huyu jamaa ana akili za kupitiliza sio kawaida. cv yake inatisha.

Kashasoma "War and Peace" mara mbili? na kuweza kuelezea kila ukurasa ? Kimbelembele na kinyumenyume?

"Kamati ya Kupitisha Watu Wenye Akili Zilizopitiliza" iliweka huu kama msingi wa kwanza kabisa kupitishwa kwamba una akili zilizopitiliza.

Professor Jacques Barzun wa Columbia Univ. alishindwa kutimiza masharti, alikuwa akijaribu kila mwaka, kwa miaka 70, mpaka anafariki akiwa na miaka 104, kaweza kusoma War and Peace mara mbili kimbelembele, lakini kinyumenyume hakuweza.



Msingi wa pili ni kwenda British Library kujiandikisha uanachama wakati ukiwa umesahau tayari ni mwanachama na unadaiwa kurudisha vitabu vya bluu 42 vinavyozidi kurasa mia saba. Na vyote uweze kuvichambua kurasa kwa kurasa.

Kashawahi kwenda kujiandikisha uanachama kwa jinsi hiyo?

Kama bado anacheza tu.

Bill Clinton na Bill Gates wote walitaka kupitishwa wakakataliwa kwa kukosa kutimiza masharti.

As could be expected, "The Society of Overthinking and Underdoing Zombies" is appealing this process at the non-United Nations.

/.s

I mean I respect intelligence, don't get me wrong.

But.

Wabongo acheni kutukuza paper qualifications, tuambieni kafanya kipi kinachoonekana nje ya ulimwengu wa academia.
 

Leteni hoja ziazojisimamia zenyewe sio hizi blah blah zisizo na kichwa wala miguu. Kama kuna ufisadi wowote aliofanya huko Arusha ni vizuri mkautaja kuliko hizi statement za jumla jumla zisizokuwa na ushahidi wowote.
 
Hivi vichwa tunavihitaji kutusaidia katika ukombozi wa taifa hili.

Huyu Jamaa ni msanii tu!! Hajawahi kusoma hata Masters Achilia mbali Phd inayomfanya Aitwe Dkt Lucus.Mimi nimekuwa nae Mlimani 2003-2004 then Arusha 2006 to date, akiwa mwajiliwa wa Manispaa ya Arusha, Najua hayupo tena Pale Manispaa sasa jiji. Ila is vzr kumjadili kama mtaalamu aliebobea -hili ni upotoshaji


Kweli ni Kada wa Chadema kwa sasa mwenye nia ya kugombea jimbo la bunda ila ni mtu wa kutazamwa kwa karibu mienendo yake ya awali asije kuharibu taswira ya CDM mbeleni.

Ni mtu anaeweza kuzungumza ukimpa nafasi ataku-outsmart well. He is not Phd holder neither an MBA graduate but a mere cadre of CDM.kwa graduate wa B.com 2004 this man was commonly known as "Gapinga"

Peopleesss!!!
 

mmmhh ingawa yangu ni kali, mmh lkn ya huyu jamaa ni kali zaidi
 

Binafsi nimeipenda CV yake. Imesimama. Lakini Watanzania embu tusiwe watu wa kulewa na CV za maGPA makubwa. Tuangalie ufanisi wa mtu katika kazi, kutatua matatizo, n.k. Sio CV tu
 
mwanajf toa hoja acha majungu hayana msingi kwa taifa kumfahamu kwa kipindi hicho je ulikuwa wewe mlezi wake huo uogo kabisa acha usirudie kupotosha umma wewe.
 

Mkuu.
Wala usihofu.
Muache atujengee Chama regardless who is he.
Siku akitaka ku practise undumilakuili wake Ma Kamanda tutamchinjia kisimani on the spot.
Hata Mwigulu,leo akiamua ku i nadi CHADEMA anakaribishwa ila nia yoyote ovu ita Backfire.
Biliv me.
 

Lini umeanza kuwa na nia njema na CHADEMA Mumy??
 

Halafu unaposema Kasoma na Mulongo una maanisha wapi??
O level???A level ??UDSM ama Makerere???
Funguka Maana kuna nyepesi kuwa Mulongo alikuwa Beki 2 kwa akina Miraji...
 

Sasa CV gani ambayo haina Education Back Ground kwa Msomi.
Acha upoyoyo...
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…