Uso wa nyoka
JF-Expert Member
- Mar 17, 2014
- 4,791
- 2,372
Afadhali hata mtu ajishaue na raha upate,kuna wengine hata penzi hawalijui zaidi ya vurugu tu na uzungu usioisha!Apate raha!
Afadhali hata mtu ajishaue na raha upate,kuna wengine hata penzi hawalijui zaidi ya vurugu tu na uzungu usioisha!Apate raha!
Is this supposed to be swahili? Sounds like an alien language to me!Isha nikuta hata mimi. ,et yeye Tupo dar mi Bush,, mpaka ni Burundi et nitume hela. Nikasema hata kifurushi siwezi,, huku mpakani ni bei poa tu wanapatikana Leo nitume et Mpesa
Hata mimi nikikuona nitakupaHuyo mwanamke hatari,mie naona tabu kuomba pesa si tuu kwa my hubby hata my brothers siwaombi,napenda nipewe nasikia raha sanaaa..
Kwa mtindo huu lazima kaka awe mkaliMpe pesa tatizo liko wapi si ulimtafuta mwenyewe!
LOLHata mimi nikikuona nitakupa
bro hapo umeniacha hoi mpk bas ha ha haMkuu acha tu. Mimi kuna mmoja alinambia yupo Morogoro! Nimtumie nauli aje DSM. Kosa langu kumuuliza DSM - MORO nauli Tshs ngapi!
Mdada alinambia, nanukuu: fanya km elfu 40 hivi, inatosha, ila ntakuja Ijumaa nikishasubmit assignment ili nilale mpk Jumapili....!
Nikamuuliza Morogoro kuna ofisi za SUMATRA? Akaniuliza SUMATRA Ndio nini! Nikamwambia ni Mgodi wa dhahabu. Nikamuambia accountant wao ni mdogo wng, namuelekeza akachukue!
hahaha mkuu namvizia japo ana mtu tayari huwanamkumbukakumbukaila bsitu...najikaza itabidi nikaushe...ngoja basi nisikubanie tuunde undugukwa kuwa ahuyo ameshakuwa dada yako hebu sasa nipasie mimi nioe kabisa. ili sasa tuunge undugu mimi na wewe .yaani uwe shemegi yangu. ntashukuru sana ndugu yangu maana kwa sasa kuna kipindi mtu unatamani hata ulie maana mi wanawake ya siku hizi ni hovyo sana ukifahamiana naye siku mbilie tu mkabadilishana namba ki
Unapaswa ujiongeze.....!!!sasa anapaswa aweke wazi. asiwe anaficha ficha. mtu weka wazi biashara yako watu tujue .
Unapopokea ujue kutoa, siyo kutaka kupewa tu, kama Kupe amnyonyavyo Mnyama, hili hatukubali, jamani hamuoni hali ni mbaya!, kula na kulipa ndiyo habari ya sasa, siyo kutuchuna na hamtaki kutoa Mbunye"Mkono mtupu haulambwi.
Bora wewe umeshtuka mapemaHuyo mwanamke hatari,mie naona tabu kuomba pesa si tuu kwa my hubby hata my brothers siwaombi,napenda nipewe nasikia raha sanaaa..
Mkuu, umenifanya nicheke ka Mwehu, na tukisema kila Mtu aandike humu alivyolizwa na kuliza, itakuwa ni vituko, ila nami sitasahau siku nilipolizwa elfu 50, kwa hizi inshu za nauli, baada ya kuwa na mawasiliano takribani mwaka mzima, na hadi sasa sijakata tamaa namtafuta, mara awe hewan mara atoweke, siku ikitokea nikamnasa ataona moto,Sniper wa Israel kapewa jukumu la kukutungua kashindwa! haha noma sana
Kuna siku nilisha liwa buku tano la nauli kwa njia hiyo
Demu nilikutana nae kwenye mtandao mmoja hvi tukachart wee sa siku moja nikamwambia aje skani akanijibu hana nauli akaniambia nimtumie nauli atakuja nikamrushia buku tano, hakuonekana tena hadi leo, nikasema ningemdaka ningemnyofoa shingo
Kwa hiyo akimtafuta mwenyewe ndiyo atowe pesa!, angetafutiwa je?Mpe pesa tatizo liko wapi si ulimtafuta mwenyewe!