Kuna dada mmoja hapa mtaani kuna grocery jirani uwa naenda kupata kinywaji mara nitokapo katika miangaiko yangu sasa kuna siku alikuja pale kumtembelea rafiki yake nilipomuona nikatokea kumkubali kwa jinsi alivyo nikamuita nikaongea nae akanipa namba tukaendelea kuwasiliana
Shida ndio zikaanzia apa maana anaanza kunitangazia matatizo kibao mara anaumwa, simu yake kioo kimepasuka, mara hana nauli ya kwenda mjini, ajanywa chai. Hapo bado sijapiga papuchi nikikaa kimya kidogo bila kumjibu limeshakua kosa mbona aunijbu je nikimla si ndio atataka nimuhudumie kila kitu.
Shida ndio zikaanzia apa maana anaanza kunitangazia matatizo kibao mara anaumwa, simu yake kioo kimepasuka, mara hana nauli ya kwenda mjini, ajanywa chai. Hapo bado sijapiga papuchi nikikaa kimya kidogo bila kumjibu limeshakua kosa mbona aunijbu je nikimla si ndio atataka nimuhudumie kila kitu.