huyu changudoa noma

huyu changudoa noma

iphone 18 promax

JF-Expert Member
Joined
Nov 17, 2012
Posts
2,918
Reaction score
2,150
Jamaa kachukua changudoa
kaingia nae gest. Katikati
ya shughuli changu kapiga
ukelele na kuzimia. Wakati
jamaa kapanik hajui afanyeje
simu ya changu ikalia,
jamaa akapokea..
SAUTI: Haloo sikiliza huyo demu
uliyemkaba mpaka
akazimia ni mtoto wa Mzee
mmoja mjeshi, akifa
utaipata
JAMAA: Lakini mie sijamfanya
kitu, ilikuwa ni
mambo yetu tu
SAUTI: Sawa hiyo stori
utawambia polisi ngoja
niwataarifu
JAMAA:Ngoja kwanza rafiki
nisaidie hii ishu
SAUTI:Ntumie laki tano, tena
naweza kukusubiri hata
uende ATM,unajua mie ni mfanya
biashara sina
haraka.
JAMAA: Sikiliza hata mie ni
mfanya biashara,
nawajua jamaa wachuna ngozi,
nikiwauzia mwili fresh
kama huu watanilipa milioni
mbili we utachukua
milioni yako safi..........g hafla
changudoa akazinduka
CHANGU: Mshenzi mkubwa nani
achunwe ngozi
 
Jamaa kachukua changudoa
kaingia nae gest. Katikati
ya shughuli changu kapiga
ukelele na kuzimia. Wakati
jamaa kapanik hajui afanyeje
simu ya changu ikalia,
jamaa akapokea..
SAUTI: Haloo sikiliza huyo demu
uliyemkaba mpaka
akazimia ni mtoto wa Mzee
mmoja mjeshi, akifa
utaipata
JAMAA: Lakini mie sijamfanya
kitu, ilikuwa ni
mambo yetu tu
SAUTI: Sawa hiyo stori
utawambia polisi ngoja
niwataarifu
JAMAA:Ngoja kwanza rafiki
nisaidie hii ishu
SAUTI:Ntumie laki tano, tena
naweza kukusubiri hata
uende ATM,unajua mie ni mfanya
biashara sina
haraka.
JAMAA: Sikiliza hata mie ni
mfanya biashara,
nawajua jamaa wachuna ngozi,
nikiwauzia mwili fresh
kama huu watanilipa milioni
mbili we utachukua
milioni yako safi..........g hafla
changudoa akazinduka
CHANGU: Mshenzi mkubwa nani
achunwe ngozi

Muwe mnatoaga na source mnapochukuaga
 
hii ingeenda kule jukwaa la ze comedy 1453527_552977158111148_1302474184_n.jpg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom