Hii ni kwa Wazee wa Msaada kwenye Tuta!

Hii ni kwa Wazee wa Msaada kwenye Tuta!

Kalolo Junior

Member
Joined
Oct 20, 2011
Posts
81
Reaction score
27
Jamaa kachukua changudoa kaingia nae gest. Katikati ya shughuli changu kapiga ukelele na kuzimia. Wakati jamaa kapanik hajui afanyeje simu ya changu ikalia, jamaa akapokea..

SAUTI: Haloo sikiliza huyo demu uliyemkaba mpaka akazimia ni mtoto wa Mzee mmoja mjeshi, akifa utaipata.
JAMAA: Lakini mie sijamfanya kitu, ilikuwa ni mambo yetu tu!
SAUTI: Sawa hiyo stori utawambia polisi ngoja niwataarifu!
JAMAA:Ngoja kwanza rafiki nisaidie hii ishu!
SAUTI:Ntumie laki tano, tena naweza kukusubiri hata uende ATM,unajua mie ni mfanya biashara sina haraka.
JAMAA: Sikiliza hata mie ni mfanya biashara, nawajua jamaa wachuna ngozi, nikiwauzia mwili fresh kama huu watanilipa milioni mbili we utachukua milioni yako safi..........g hafla changudoa akazinduka.
CHANGU: Mshenzi mkubwa nani achunwe ngozi!
 
Kumbe junior! ukikua ukiwa senior utaacha.
 
Tanzania ina safari ndefu sana ya kujikomboa kutoka katika hali ya umaskini kwa kuwa wengi waijazao nchi bado ni maamuma.
 
Laana siiLaana Looh... Joke siJoke.... Aiseee nimechekaa !! ahsante kuniongezea umri na uhai.... Duuh JF bhanaaa...!! Good luck frendi.
 
Tutumie vema majukwaa tafadhali. Chitchat ndio mahala pa stori hii. Mnatupotezea muda kusoma kumbe gesi tu!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom