Huyu Bwana Mdogo Shababy alitaka amwoe Aisha mke wa Muhamad pindi akifariki

Huyu Bwana Mdogo Shababy alitaka amwoe Aisha mke wa Muhamad pindi akifariki

Komeo Lachuma

JF-Expert Member
Joined
Oct 31, 2014
Posts
11,163
Reaction score
22,739
Tafsiri ya Kiswahili ya Qur'an 33:53:

"Enyi mlioamini! Msiingie nyumba za Nabii ila mruhusiwe kwa chakula, wala si mkingojee kuiva. Lakini mkiitwa, ingieni. Na mkisha kula, tawanyikeni, wala msikae kwa mazungumzo. Hakika hayo humsumbua Nabii naye huwaonea haya (kuwaambia mwondoke), lakini Allah haoni haya ya kweli. Na mnapowaomba wake zake haja yoyote, waombeni nyuma ya pazia. Hivyo ni usafi zaidi kwa nyoyo zenu na nyoyo zao. Wala si halali kwenu kumdhuru Mtume wa Allah, wala kuwaoa wake zake baada yake kabisa. Hakika jambo hilo ni kubwa mbele ya Allah."
(Surah Al-Ahzab, 33:53)

Screenshot_2025-06-09-22-41-08-067_com.twitter.android.jpg
 
Sawa
 

Attachments

  • Screenshot_20250609_114649_Instagram.jpg
    Screenshot_20250609_114649_Instagram.jpg
    307.1 KB · Views: 17
"Here comes a quaran verse"😂kumbe ndio ilikuwa inashushwa namna hiyo

Yes... Hapo ikashushwa aya. Kuna sehemu walitoka kupora mali. Jamaa wakaanza kuuliza hizi mali tunagawana vipi? Mtume akasikia. Ikashuka aya kuwa hizo mali ni za mtume na mungu wake. 🤣
 
Sasa Muhammad kwann wake zake hakutak waolewe ila wawezake aliwaoa
 
Back
Top Bottom