smallvile
JF-Expert Member
- Sep 12, 2012
- 492
- 237
kinachofanya mahusiano mengi yasidumu ni zile expectation out of marriage, wewe una mategemeao makubwa saaana, tena ni ya nje kabisa na uhalisia wa mapenzi, yaani mategemeo yako na ndoa ni vitu viwili tofauti, mapenzi na uginius, sawa ucheshi unahusika, ila omba upate mwenye mapenzi ya dhati, anayejua maana ya kuwa wa2 sifa za kibinadamu za nje zinadanganya nakutakia kila la kheri umpate mwenye upendo sio mwenye vigezo