Sigara Kali
JF-Expert Member
- May 28, 2017
- 3,623
- 8,428
Habari wananzengo
Kuna binti mmoja umri miaka 19 ni binti wa Kinyiramba kutoka Singida
Nilikutana nae tangu mwaka Jana alipokuja kusoma Chuo,basi nikamtongoza kaingia line na nikaanza kula mzigo
Mwanzo wa mahusiano alinidanganya eti ana mtoto,lakini nilipomchunguza zaidi nikajua ni muongo
Ikafika kipindi akakiri mwenyewe kwamba hana mtoto alikua ananidanganya tu
Maisha yaliendelea na mapenzi yalinoga zaidi kati yetu
Baada ya muda nikaanza kupata taarifa kwamba huyu binti keshaanza kuonekana Maeneo ya starehe majira ya usiku yani anatoka hostel anaenda kujirusha tena anaonekana na watu wazima
Ni binti nzuri kama mnavyojua mabinti kutoka singida, basi ikafika hatua akasimamishwa masomo (anasoma hivi vyuo vya kati vilivyo chini ya VETA)
Baada ya kumaliza adhabu yake akarudi Chuo na kuungana na mwenzake wakaenda kupanga mtaani,huyu mwenzake ni mtu wa skendo yani ni Malaya sana
Hapo ndipo migogoro ikaanza kati Yangu na huyo binti,kila wakati napata taarifa zake za kutokuwa muaminifu ,yeye mwenyewe anajifanya ni MTU mmoja mstaarabu sana
Simu yake ukiigusa ni ugomvi,sasa hivi majuzi ananiambia anahisi ana kitu mwilini mwake
Nikamuuliza nini akaniambia anahisi ana mimba nikamwambia Pima ,akagoma hadi tukutane siku moja naenda anapoishi namkuta anaongea na simu na msela nikaamua kusepa
Kesho yake namuuliza umepima anasema ndio na mimba ipo, nikamwambia njoo home tupime wote nihakikishe akagoma eti anaogopa nitampiga maana anasema nimezoea kumpiga piga
Nikambembeleza sana aje tupime kama ipo taratibu nyingine zifuate akaendelea kuleta mapozi
Mimi nikaamua kusafiri,sasa huyu binti sijui kama kweli ana mimba na hata kama anayo nishamwambia simwamini kabisa na siamini kama kweli hiyo mimba nimempa Mimi
Nimfanyaje huyu binti manake sio muaminifu nimejaribu kumwacha Mara kadhaa ila bado king'ang'anizi na sasa kaja na Inshu ya mimba.
Kuna binti mmoja umri miaka 19 ni binti wa Kinyiramba kutoka Singida
Nilikutana nae tangu mwaka Jana alipokuja kusoma Chuo,basi nikamtongoza kaingia line na nikaanza kula mzigo
Mwanzo wa mahusiano alinidanganya eti ana mtoto,lakini nilipomchunguza zaidi nikajua ni muongo
Ikafika kipindi akakiri mwenyewe kwamba hana mtoto alikua ananidanganya tu
Maisha yaliendelea na mapenzi yalinoga zaidi kati yetu
Baada ya muda nikaanza kupata taarifa kwamba huyu binti keshaanza kuonekana Maeneo ya starehe majira ya usiku yani anatoka hostel anaenda kujirusha tena anaonekana na watu wazima
Ni binti nzuri kama mnavyojua mabinti kutoka singida, basi ikafika hatua akasimamishwa masomo (anasoma hivi vyuo vya kati vilivyo chini ya VETA)
Baada ya kumaliza adhabu yake akarudi Chuo na kuungana na mwenzake wakaenda kupanga mtaani,huyu mwenzake ni mtu wa skendo yani ni Malaya sana
Hapo ndipo migogoro ikaanza kati Yangu na huyo binti,kila wakati napata taarifa zake za kutokuwa muaminifu ,yeye mwenyewe anajifanya ni MTU mmoja mstaarabu sana
Simu yake ukiigusa ni ugomvi,sasa hivi majuzi ananiambia anahisi ana kitu mwilini mwake
Nikamuuliza nini akaniambia anahisi ana mimba nikamwambia Pima ,akagoma hadi tukutane siku moja naenda anapoishi namkuta anaongea na simu na msela nikaamua kusepa
Kesho yake namuuliza umepima anasema ndio na mimba ipo, nikamwambia njoo home tupime wote nihakikishe akagoma eti anaogopa nitampiga maana anasema nimezoea kumpiga piga
Nikambembeleza sana aje tupime kama ipo taratibu nyingine zifuate akaendelea kuleta mapozi
Mimi nikaamua kusafiri,sasa huyu binti sijui kama kweli ana mimba na hata kama anayo nishamwambia simwamini kabisa na siamini kama kweli hiyo mimba nimempa Mimi
Nimfanyaje huyu binti manake sio muaminifu nimejaribu kumwacha Mara kadhaa ila bado king'ang'anizi na sasa kaja na Inshu ya mimba.