mkonowapaka
JF-Expert Member
- Feb 19, 2010
- 1,493
- 767
Kabla jk hajatia saini huo muswada tujitahidi kuyatoa....
uyu jamaa bwana nimewahi mfuatilia huko insta na alijifanya kuponda sana mtu kuajiriwa...na akafikia hadi kulipisha watu 20,000 kwa saa akupe ushaur wa kibiashara uwe kama yeye...nk nk nk
nakumbuka kuna wakat alijitapa kafungua baa yake nyuma ya triple 7 sijui imefia wapi...nway kwa sasa ni muajiriwa wa EFm radio na anakingabakuli kila tar 30...nikajiuliza imekuaje tena?...c uliponda ajira ww...kwa shule zako bila ada....
Nasikia ata sinza unapokaa mshkaj tu anakuhifadhi...ivi watu mpoje??
Maushauri yooote unayotupa ila wewe hamna kitu....
Part 2 is coming later
uyu jamaa bwana nimewahi mfuatilia huko insta na alijifanya kuponda sana mtu kuajiriwa...na akafikia hadi kulipisha watu 20,000 kwa saa akupe ushaur wa kibiashara uwe kama yeye...nk nk nk
nakumbuka kuna wakat alijitapa kafungua baa yake nyuma ya triple 7 sijui imefia wapi...nway kwa sasa ni muajiriwa wa EFm radio na anakingabakuli kila tar 30...nikajiuliza imekuaje tena?...c uliponda ajira ww...kwa shule zako bila ada....
Nasikia ata sinza unapokaa mshkaj tu anakuhifadhi...ivi watu mpoje??
Maushauri yooote unayotupa ila wewe hamna kitu....
Part 2 is coming later