Mkuu hakuna cha kukushauri....
It is obvious wewe umemzimikia more than yeye kwako! Kama haku cheat wala kukukosea heshima we endelea tu maana feelings btn two people haziwagi equal anyways🤷🏼♀️
Hapa kuna ka ukweli maana nimesamehe sana huyu mtoto mpaka najiona sio mimi...Mkuu hakuna cha kukushauri....
It is obvious wewe umemzimikia more than yeye kwako! Kama haku cheat wala kukukosea heshima we endelea tu maana feelings btn two people haziwagi equal anyways🤷🏼♀️
ndiyo we unajua ni kwanini halalamiki kwamba humtafuti ni kwamba ameshajua ndiyo tabia yako na unaweza kukuta anakuchora na ameanza kuhisi unamsela mwingine ndo maana humtafuti...hivi mfano ukiolewa dada yangu hayo maswali lazima uulizwe na ndio principle ya mapenzi hiyo wewe mfano umeolewa mmeo anaondoka saa kumi na mbili asubuhi bila kupiga simu bila kusema chochote hutomuuliza?Kwenye mapenzi yetu mimi ndie mgumu kumtafuta sio yeye
Na kingine nakerekwa na maswali ya uko wapi..unafanya nini,.
Ila kumpenda jamaa nampenda sana tu na sina wa pembeni
we mgeni kwenye mapenzi itakuaKwenye mapenzi yetu mimi ndie mgumu kumtafuta sio yeye
Na kingine nakerekwa na maswali ya uko wapi..unafanya nini,.
Ila kumpenda jamaa nampenda sana tu na sina wa pembeni
Picha hilo ni kama langu yaani ni changamoto sanaMkuu na mimi yananikuta haya haya yanayokusibu wewe... Nmejaribu kumueleza anajirekebisha siku mbili tatu then anabadilika tena. Nimeamua kufanya maamuzi sahihi sahihi na mimi nampotezea tuu.. Hakuna haja ya kurndelea kugandana na ke wa aina hiyo
View attachment 1144234
we mgeni kwenye mapenzi itakua
ndiyo we unajua ni kwanini halalamiki kwamba humtafuti ni kwamba ameshajua ndiyo tabia yako na unaweza kukuta anakuchora na ameanza kuhisi unamsela mwingine ndo maana humtafuti...hivi mfano ukiolewa dada yangu hayo maswali lazima uulizwe na ndio principle ya mapenzi hiyo wewe mfano umeolewa mmeo anaondoka saa kumi na mbili asubuhi bila kupiga simu bila kusema chochote hutomuuliza?
asa kama sio mgeni utsemaje hupendi kuambiwa uko wapi? anza kujifunza sasa hivi usije kuwa akama hao wadada amabao wanaambiwa tabia zao ni mbaya ndio maana hawaolewi na moja wapo ya tabia amabayo usirudie tena ni hiyo ya mpenzi wako anataka kujua uko wapi unasema hupendi...kuna watu wanatafuta care ya design hiyo na akimpata msela wako na akamheshimu na kurudisha upendo utaachwa kweupeHata sio mgeni
Picha limekaa wazi ee...hapa baharia ni kujikataa taratibu sema sina sababu konki ya kumuacha,sina evidence zaidi ya ufinyu wa mawasilianoHuna mwanamke hapo
Evidence unayo ya ufinyu wa mawasiliano, inamaana hapo usipomtafuta nayeye Ndio mazimaaPicha limekaa wazi ee...hapa baharia ni kujikataa taratibu sema sina sababu konki ya kumuacha,sina evidence zaidi ya ufinyu wa mawasiliano
there is no such thing as weekends and all that bullshit ...the day when you signed up to be a couple that;s where it started no weekends no workday it still works till when you guys are done or maybe god bless end up being a family and that will go one foreverItatagemea kama ni weekend au weekdays
Hili picha kabla ya ndoa ambapo mapenzi ni kama yote linachenga chenga,humo ndani ya ndoa si atajifanya bubu na kiziwi aniue na stressMuoe tu
Hili picha kabla ya ndoa ambapo mapenzi ni kama yote linachenga chenga,humo ndani ya ndoa si atajifanya bubu na kiziwi aniue na stress
Yani ulichokiandika hakuna utofauti na mimi,maswahibu hayo hayo yananikumba mtu hakutafuti.
Ila mimi nilishajiongeza mapema niko na msichana mwingine akijisikia kunitafuta atanitafuta akivunga na mimi navunga kimya kimya maisha yaendelee kujipa stress za nini.
Unaibiwa mkuuHabari zenu wapenzi wa MMU..
Niko kwenye mahusiano na mdada mmoja hivi takribani mwaka mmoja,tunapendana sana na tumeshavunja amri ya 6 kama wapenzi wenye malengo.Mimi na huyu mpenzi wangu hatuishi karibu japo wote tupo Dsm,tatizo huyu mwenzangu kwenye ishu ya mawasiliano ni mzito sana tunaweza kaa siku tatu bila kuwasiliana nisipomtafuta mimi...nilishawahi kukaa nae chini na kumhoji nini shida mpaka anakuwa mzito kunijulia hali mimi kama mpenzi wake na muda wa maongezi anao,mitandao ya kijamii namuona yuko online but hanitafuti akadai atajirekebisha ila hamna chochote alichojirekebisha japo wote tuko busy but mimi natenga muda namtafuta kwanini yeye hanipi kipaumbele katika maisha yake....niko njia panda kufanya maamuzi magumu,ushauri wenu tafadhali ila nikiwa nae karibu napewa kila kitu nikitakacho but kama mke bila mawasiliano mazuri na mumewe ni mbayaa baadae