Huyu bidada yupo kundi gani?

Huyu bidada yupo kundi gani?

Financial Freedom

JF-Expert Member
Joined
Nov 14, 2016
Posts
1,250
Reaction score
2,314
Habari zenu wapenzi wa MMU..
Niko kwenye mahusiano na mdada mmoja hivi takribani mwaka mmoja,tunapendana sana na tumeshavunja amri ya 6 kama wapenzi wenye malengo.Mimi na huyu mpenzi wangu hatuishi karibu japo wote tupo Dsm,tatizo huyu mwenzangu kwenye ishu ya mawasiliano ni mzito sana tunaweza kaa siku tatu bila kuwasiliana nisipomtafuta mimi...nilishawahi kukaa nae chini na kumhoji nini shida mpaka anakuwa mzito kunijulia hali mimi kama mpenzi wake na muda wa maongezi anao,mitandao ya kijamii namuona yuko online but hanitafuti akadai atajirekebisha ila hamna chochote alichojirekebisha japo wote tuko busy but mimi natenga muda namtafuta kwanini yeye hanipi kipaumbele katika maisha yake....niko njia panda kufanya maamuzi magumu,ushauri wenu tafadhali ila nikiwa nae karibu napewa kila kitu nikitakacho but kama mke bila mawasiliano mazuri na mumewe ni mbayaa baadae
 
Labda ana mwingine. Hawaaminiki hawa. Hebu nenda kwake bila kumshtua kwamba unaenda. Akikuuliza umwambie ulikuwa unataka kum-surprise. Nenda na kazawadi kadogo. Kama ana njemba ingine ndio ujue usije ukaoa ambaye ataendelea kumganda huyo mtu wake hata baada ya kuhamia kwako
 
Hivi ukiwa mzito kimawasiliano ndio haumpendi mpenzio?

Mimi mbona nampenda mwanaume wangu ila kumtafuta sasa hua mtiahni
 
Chunguza upate ground ya kufanyia maamuzi
"Informed decision making"
 
Habari zenu wapenzi wa MMU..
Niko kwenye mahusiano na mdada mmoja hivi takribani mwaka mmoja,tunapendana sana na tumeshavunja amri ya 6 kama wapenzi wenye malengo.Mimi na huyu mpenzi wangu hatuishi karibu japo wote tupo Dsm,tatizo huyu mwenzangu kwenye ishu ya mawasiliano ni mzito sana tunaweza kaa siku tatu bila kuwasiliana nisipomtafuta mimi...nilishawahi kukaa nae chini na kumhoji nini shida mpaka anakuwa mzito kunijulia hali mimi kama mpenzi wake na muda wa maongezi anao,mitandao ya kijamii namuona yuko online but hanitafuti akadai atajirekebisha ila hamna chochote alichojirekebisha japo wote tuko busy but mimi natenga muda namtafuta kwanini yeye hanipi kipaumbele katika maisha yake....niko njia panda kufanya maamuzi magumu,ushauri wenu tafadhali ila nikiwa nae karibu napewa kila kitu nikitakacho but kama mke bila mawasiliano mazuri na mumewe ni mbayaa baadae
Huyo hakika angenifaa sana...
 
Hivi ukiwa mzito kimawasiliano ndio haumpendi mpenzio?

Mimi mbona nampenda mwanaume wangu ila kumtafuta sasa hua mtiahni
mahusiano lazima yawe na sheria na misngi amabayo lazima ifuatwe moja wapo ni hio mpenzi wako lazima ajue uko wapi unafanya nini na nani...ndio maana wengi wetu mahusiano yanatushinda tunapenda mapenzi ila hatuoneshi kama tunahitaji mapenzi...mapenzi ni kushirikiana mfanyie mwenzio kile ambacho unapenda kufanyiwa....mfano huyo jamaa unayesema unampenda ila kumtafuta ndio shida keshakugundua na ana kidemu chake huko kinacho mjali na kufurahisha kwa vile wewe kesha kusoma anakutafuta siku ambazo anahitaji game
 
Ki ukweli hajawahi niomba hela zaidi ya chakula tukiwa mtoko na mimi labda kumuachia hela nikijisikia....mpitaji anapewa sex full kujiachia
Anakupenda kwenye sex tu, Hana future na wewe
 
Hivi ukiwa mzito kimawasiliano ndio haumpendi mpenzio?

Mimi mbona nampenda mwanaume wangu ila kumtafuta sasa hua mtiahni
Mawasiliano ni ishara kuwa kuna upendo kati yenu....kama hamna ni shida sana
 
Mkuu hakuna cha kukushauri....
It is obvious wewe umemzimikia more than yeye kwako! Kama haku cheat wala kukukosea heshima we endelea tu maana feelings btn two people haziwagi equal anyways🤷🏼‍♀️
 
Kwenye mapenzi yetu mimi ndie mgumu kumtafuta sio yeye

Na kingine nakerekwa na maswali ya uko wapi..unafanya nini,.

Ila kumpenda jamaa nampenda sana tu na sina wa pembeni
mahusiano lazima yawe na sheria na misngi amabayo lazima ifuatwe moja wapo ni hio mpenzi wako lazima ajue uko wapi unafanya nini na nani...ndio maana wengi wetu mahusiano yanatushinda tunapenda mapenzi ila hatuoneshi kama tunahitaji mapenzi...mapenzi ni kushirikiana mfanyie mwenzio kile ambacho unapenda kufanyiwa....mfano huyo jamaa unayesema unampenda ila kumtafuta ndio shida keshakugundua na ana kidemu chake huko kinacho mjali na kufurahisha kwa vile wewe kesha kusoma anakutafuta siku ambazo anahitaji game
 
Back
Top Bottom