Huyu bibi CCM damu damu

Huyu bibi CCM damu damu

Jackal

JF-Expert Member
Joined
Apr 10, 2012
Posts
10,258
Reaction score
14,102
Toa maoni yako matusi mwiko!
 

Attachments

  • IMG_41968295011682.jpeg
    IMG_41968295011682.jpeg
    42.6 KB · Views: 1,438
Kwa umri alionao sio rahisi kubadilika; bila ya shaka anaamini Nyerere bado yu hai!!
 
Kuanzia vijana mpaka wazee kama hawa wanaujua umuhimu wa ccm!!
 
sina tabia ya kudharau wazeee lakini kwa huyu bibi huu ushabiki umepitiliza .ccm wamempa nini huyu bibi jamani siyo bure.
 
mungu amlaze pema pepon kama sikosei alikufa mwaka juz alikua anakaa ukonga mazizini
 
Ndo wanaokiwezesha chama hawa,hapo kashika roho ya chama ukimuondoa huyo....Finish umeondoa na chama octber-25.
 
Bila hzo nguo angekua uchi mana alikuja hapo mkutanon uch wa binadamu.
 
Back
Top Bottom