Huo uwezo wake si wakawaida-haiwezekani!
Kipa gani yupo makini kupitiliza namna hiyo!?Mm kuanzia leo nawasiliana na babu kule kijijini tulijadili suala la uwezo wa kupitiliza wa huyo mtu!
Ni hatari!
Jamani nimevumilia ila nimeshindwa kuzia sifa zangu za dhati kwa goalkeeper hodari wa Manchester United 'Degea'kwa umahiri wake mkubwa wa kuzuia mashambulizi ya Tottenham...Jamaa kaonyesha uwezo mkubwa sana..Hii ndio kazi binafsi pasipo kutegemea timu. Sio shabiki wa Man U ila uwezo wake nimeulewa sana...De gea ni moto wa kuotea Mbali...
Sent using Jamii Forums mobile app
Huyu goli kipa kaokoa michomo 11 leo na ndy aliyefanya hivyo katika msimu huu tu
Sent using Jamii Forums mobile app
Kweli kabisa,,amewaacha vijana wafanye kazi yaoYes amefanya kazi kubwa, ila bahati pia ilikuwa upande wetu Red Devils, maana Spurs wamepiga mpira mwingi sana kipindi cha pili! Binafsi napenda sana ule utulivu wa Kocha Ole.