avalanche
JF-Expert Member
- Apr 29, 2014
- 227
- 234
Inawezekana Donald Trump ndiye akawa rais wa marekani ambaye ana utajiri mkubwa zaidi licha ya kuwa marais wote waliopita marekani walikuwa na utajiri mkubwa pia. Tazama mgawanyiko huu na vitu ambavyo viliwapa marais hawa utajiri kabla na baada ya siasa
Ranking Every U.S. President By Net Worth
Ranking Every U.S. President By Net Worth