Kazi yao ni kucheza vigodoro tu na ushirikina watoto wa kike wanapendaa kuzalishwa hvyo Kila mtoto na baba yake...Nimecheka sana . Kwanza hao waluguru uliowatolea mfano kumbe walishindwa kwa Nyerere eti unajisifia kuwa walimsumbua.
Pili mfano wa sasa unaoutoa eti tuangalie wachezaji wa mpira,wachezaji haohao walioishia simba na yanga.
Nimekulia maisha yangu yote ya utoto na ujana Morogoro , nawafahamu vizuri nyie watu. Ni wafupi, wabishi washirikina bila kusahau wavivu
Sent using Jamii Forums mobile app
Kazi yao ni kucheza vigodoro tu na ushirikina watoto wa kike wanapendaa kuzalishwa hvyo Kila mtoto na baba yake...
Pamoja na kuzalishwa ovyo Lakn bado familia zao wanafurahia kitendo hicho mpaka wanawawekea sherehe wanazoziita kinemwa
Hahahaha Nimegundua humu jukwaani waluguru sio wengi la sivyo 😀Kijana wa miaka 24 wa kihehe ni tofauti kbs kbs na kijana umri huo wa kiluguru..sijui kwann jaman!kija a wa umri huo mhehe ukikaa naye utajua hapa nimekaa na kijana anayejitambua..mara nyingi atakuambia nimelima eka 2 za mahindi au maharage..au atakuwa ana bustan za njegere au kabeji..
huyu wa 24mluguru age hyo..ametoroka kwao amempa mimba mtoto wa jiran..ashanyoa kiduku akijitahf sana baa anaendesha boda ya kugongea kwa mshikaji...!hela anayopata inapitiliza dukan anunue pamba ashine😂
Duh hatariKazi yao ni kucheza vigodoro tu na ushirikina watoto wa kike wanapendaa kuzalishwa hvyo Kila mtoto na baba yake...
Pamoja na kuzalishwa ovyo Lakn bado familia zao wanafurahia kitendo hicho mpaka wanawawekea sherehe wanazoziita kinemwa
Hahahaha Nimegundua humu jukwaani waluguru sio wengi la sivyo 😀
Wewe nawe bure kabisa, sasa unatoa hoja ya nyumba za udongo, kuna mkoa ambao hauna hizo nyumba, kariakoo kwenyewe zipo hizo nymba,Katka makabila ambayo hayana maendeleo ni warugulu. ... hili kabila la hvyo sana washirikina mno wabishi balaa...
Ukitaka kuamini katikati ya mji wa morogoro mitaa kama mlapakolo mtoni street kote kuna nyumba za miti na zmeoza. ..ndani ya nyumba hzo unakuta bibi babu ,mama wajukuu watoto wao wote wanaishi humo humo na wazalishwa humohumo utakuta bint ana miaka 19 Lakn ana watoto watatu wanaishi nyumba hyo hyo ya ukoo. ....
Yaani ukitaka kuwa masikin oa mluguru ukoo wa mjomba babu shangazi binamu wote watahamia kwako kazi yao ni kushinda kwenye vigodoro usiku na mchana
Mtu kakurupuka kaleta uzi humu, japo ni wa muda kidogo, anaponda kabila hili adhimu kabisa hapa Tz, et ooh wabish, mara wafupi.
Unawajua kwanza waluguru kama hili ndo kabila pekee Tz lililotoa wagombea wawili wa vyama viwili tofauti wakashindana na Nyerere kugombea urais, kipindi wakoloni wanataka kutoa uhuru
Na inadaiwa hao waluguru wawili yaani Mtemvu na Kunambi walimchemsha saana mwalimu, alikuwa anakosa hadi usingizi akiwafikiria waluguru wale
Hadi ndo chanzo mwalimu kuwa mbunge morogoro ili kuwa-counter check wapinzani wake wale.
Kwa hyo dharau muache, waluguru kitambo waliamka, kipindi ambacho hata akina nshomile, bado wanatafta ma-phd,
Na mpaka leo waluguru wako vizur, hata ukiangalia kwenye kada ya mpira wa miguu, wao ndo kama kiwanda cha wachezaji nchini
#Hebu_acha_dharau_wewee
Sent using Jamii Forums mobile app
jaman muwe mnafanya hata viutafit au mnauliza basi sio mnakurupuka tu kuchangia nyuzi,Kijana wa miaka 24 wa kihehe ni tofauti kbs kbs na kijana umri huo wa kiluguru..sijui kwann jaman!kija a wa umri huo mhehe ukikaa naye utajua hapa nimekaa na kijana anayejitambua..mara nyingi atakuambia nimelima eka 2 za mahindi au maharage..au atakuwa ana bustan za njegere au kabeji..
huyu wa 24mluguru age hyo..ametoroka kwao amempa mimba mtoto wa jiran..ashanyoa kiduku akijitahf sana baa anaendesha boda ya kugongea kwa mshikaji...!hela anayopata inapitiliza dukan anunue pamba ashine[emoji23]
Hao wasukuma ndo buure kabisa, kwa u-trekta si wapingi, ila wakishavuna ndo utawajua kuwa ni mapimbi tu[emoji23][emoji23]bwana eh huo ni ukweli tupu...ila age hyo kijana wa kisukuma at 24age ashaoa n ashajenga kakibanda pemben ya nyumba ya wazaz..na ana watoto3..!wakisukuma hawahami home kwao aiseee anajenga hapo hapo..so masuala ya misos mnashare..ni kazi ya kuzaa tu na kulima[emoji23][emoji23]..ila wakihehe jaman wapo smart sana....wahehe mtoto ana 12yrs ashaanza jitegemea ..yaan ana geto ana godoro tayari yaan vipo smart mno sema wana hhasira na kiburi
jaman muwe mnafanya hata viutafit au mnauliza basi sio mnakurupuka tu kuchangia nyuzi,
Umeleta hoja ya wahehe kulima, sasa waluguru hawalimi au, morogoro ingetajwa vip kuwa ghala la taifa, hao uliowataja si wanalima vimbogamboga tu
Sent using Jamii Forums mobile app
Hao wasukuma ndo buure kabisa, kwa u-trekta si wapingi, ila wakishavuna ndo utawajua kuwa ni mapimbi tu
Na baadhi ya mikoa madada poa washawashtukia, wanaenda kuweka kambi kwenye vijiji vyao kipndi cha mavuno
Ndo maana most of them, kazi kuubwa mafanikio nukta,
Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe nawe bure kabisa, sasa unatoa hoja ya nyumba za udongo, kuna mkoa ambao hauna hizo nyumba, kariakoo kwenyewe zipo hizo nymba,
Halafu watu wengi hawajengagi nyumba za familia kwa sababu sio yako peke yako, unajienga leo kesho inauzwa
Ushirikina inaonekana hata wewe ni mshirikina pia, labda ulikuwa unapigaga ramli ukawajua waluguru ndo wanakuroga
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23]kama unaishi moro niambie nikuoneshe mashambaya waluguru ufe kwa kucheka...
Binafsi nna shamba la [emoji526][emoji526]..nilikuta wenyeji wamelima ukubwa wa sebule kubwa amemaliza. .ukikuta mahidni amelima hatu 20 tu amemaliza..hahhaa ww usibishe tu...km upo moro sema nikuoneshe mashamba ya waluguru ya [emoji526]upime hatua kama kuna mtu ana hata heka 2 au 1 [emoji57]
Nimecheka sana . Kwanza hao waluguru uliowatolea mfano kumbe walishindwa kwa Nyerere eti unajisifia kuwa walimsumbua.
Pili mfano wa sasa unaoutoa eti tuangalie wachezaji wa mpira,wachezaji haohao walioishia simba na yanga.
Nimekulia maisha yangu yote ya utoto na ujana Morogoro , nawafahamu vizuri nyie watu. Ni wafupi, wabishi washirikina bila kusahau wavivu
Sent using Jamii Forums mobile app
Kulima wanalima basi?
Hawa wanalima viplot. ..
Mluguru akilima sana amelima matebembele nje ya nyumba yake na mahindi matuta matatzo. ....
Mimi ni nshomile, nimezaa na mrugulu, aisee muziki niliochezeshwa sio wa dunia hii, mipasho, maneno mengi, kila Mara kavaa Dela, mashost mtaa mzima na kila Mara kila siku anaomba kwenda kwao aisee.
Nilichoka kwa kweli. maana alianza kunawili huku Mimi mwili ukipotea, nikakosa balance kabisa kimaisha mwisho nikaona isiwe taabu sijamuoa huyu wacha nimrudishe kwako, siku ya kuondoka alikomba nyumba nzima nikabaki na nguo zangu,viatu na mavuzi yangu tu.
Ila kitandani na suala la misosi plus usafi nawahusudu sanaaaa halafu wana maumbo mazuri mazuri kabisa sema tabia ndo hamna kitu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hapo kwenye usafi labda na ndio maana wengi ni (Mabeki 3) kwenye umbo sina uhakika