Mr Chromium
JF-Expert Member
- Aug 20, 2020
- 2,088
- 2,705
Kutumia mitandao kuna changamoto sana
Watu wengi wamejikuta wanapata karaha kwa kutongozwa mtandao
Ingawwa wengine wanapenda
Saababu
Picha unazoppost
Muonekano
Au lugha
Jina unalotumia
Au sababu yoyote ile
NB: Binafsi nakutanaaga na haya maswaibu hadi nikaamua kudelete picha zangu hasa facebook na insta: Kwakua mi kublock mtu huwa siwezi basi huwa nafuta msg bila kuifungu!
Tujuze
Watu wengi wamejikuta wanapata karaha kwa kutongozwa mtandao
Ingawwa wengine wanapenda
Saababu
Picha unazoppost
Muonekano
Au lugha
Jina unalotumia
Au sababu yoyote ile
NB: Binafsi nakutanaaga na haya maswaibu hadi nikaamua kudelete picha zangu hasa facebook na insta: Kwakua mi kublock mtu huwa siwezi basi huwa nafuta msg bila kuifungu!
Tujuze