Watu bana mmekamatwa sana na heading nakumbuka enzi nilipokuwa chuo nikiwa na tangazo langu nikitaka kubandika na watu walisome basi naweka heading kwamba 'USISOME HAPA'
basi kila mtu alikuwa anataka kujua kuna nini ndani yake hatimae ujumbe wangu unafika.
So mleta mada amekuwa mbunifu kidogo kutulazimisha kufungua thread yake