ukifikiria saana, hata unashindwa kuelewa hii maana yake nini? serikali inamchukulia mwananchi wake fedha ambayo iko kwenye maelezo tu, halafu umpi kile alicholipia, wala sababu za kumlipisha umpi, kweli serikali imepata mapato, lkn kwa njia ya ulaghai. sasa enyi watu wa serikali mnaonaje? mkirejesha fedha hizo au mkitoa hiyo mitungi kwa wahusika au mtoe tamko kila aliyelipia asisumbuliwe barabarani kama ilivyo sasa.
Ni rahisi kufikiria kuwa kuna wajanja wanafaidika na hiyo mitungi hewa.