Huu wimbo wa Jangwani unatakiwa uchuje

Huu wimbo wa Jangwani unatakiwa uchuje

bnhai

JF-Expert Member
Joined
Jul 12, 2009
Posts
2,846
Reaction score
2,402
Kila mvua zikinyesha huu wimbo wa daraja la Jangwani hushika namba moja. Hii barabara ya Morogoro huenda ndio barabara inayopitisha magari mengi kuliko yoyote nchi nzima.
Kwanini barabara hii isiinuliwe kutokea fire mpaka mapipa?
 
Taratibu mkuu.Tuko bize na uteuzi wa kina Mnyeti pia unaombwa kupunguza habari za uchochezi
 
Kitendo cha hao makandarasi wa barabara ya mwendokasi kujenga eneo la kuweka hayo mabasi yao pale jangwani,ndo wamezidisha balaa kabisa.kama jana wameshindwa kutoka hadi kuja kuokolewa,sijui waliwaza nini kujenga ofisi zao pale.
 
Kitendo cha hao makandarasi wa barabara ya mwendokasi kujenga eneo la kuweka hayo mabasi yao pale jangwani,ndo wamezidisha balaa kabisa.kama jana wameshindwa kutoka hadi kuja kuokolewa,sijui waliwaza nini kujenga ofisi zao pale.
Kama kuna mahali akili haikutumika ni eneo la Jangwani.
 
Kila mvua zikinyesha huu wimbo wa daraja la Jangwani hushika namba moja. Hii barabara ya Morogoro huenda ndio barabara inayopitisha magari mengi kuliko yoyote nchi nzima.
Kwanini barabara hii isiinuliwe kutokea fire mpaka mapipa?
Muombe mungu hayo yote yatatoweka
 
Kitendo cha hao makandarasi wa barabara ya mwendokasi kujenga eneo la kuweka hayo mabasi yao pale jangwani,ndo wamezidisha balaa kabisa.kama jana wameshindwa kutoka hadi kuja kuokolewa,sijui waliwaza nini kujenga ofisi zao pale.
Kwani mwaka jana hawakuwepo hadi useme hivyo.. mvua imekuwa nyingi tu..
 
Neno jangwani linasadifu yaliyopo, tabu iko wap?
 
Tanzania tumebarikiwa vitu vingi vya ajabu....tatizo hatuvipi promo. JANGWA PEKEE DUNIANI MVUA IKINYESHA, LINA KUWA BAHARI.....😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀
 
Back
Top Bottom