Huu wimbo unaitwaje?

Mtuache

JF-Expert Member
Joined
Mar 12, 2021
Posts
260
Reaction score
707
Habari wana JF

Kuna nyimbo fulani nimesahau jina na mwanamziki pia. Ni ya zamani ila sio sana nakumbuka baadhi ya maneno, nitayaandika hapa chini

Maneno nitakayoandika ameimba mwanaume (mbaba mtu mzima) ila anaeitikia ni mwanamke (mmama mtu mzima pia)

Mwenye atakewezea kuutambua naomba aniambie: nitashukuru sana

¶Nipeleke nipeleke Mwanza
¶Mwanza sehemu gani
¶Mwanza pale misungwi
¶Unakwenda kumuona nani
¶Nakwenda kumuona Mama
¶Atakupa zawadi gani
¶SATO NA SANGARA
 
Bob Aizack nyimbo inaitwa nibebe mgongoni itafute utube.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…