Huu wimbo ni wa nani?

divino

Member
Joined
Sep 19, 2017
Posts
62
Reaction score
77
Wasalaam wakuu,kuna wimbo nineusikia mahali fulani na baadhi ya mashairi yake ndio haya
Wimbo ni wa gospel
....
Mimi ninae rafiki,
Pendo lake la ajabu kwangu
Alikubali mauti,ili anipate mimi
Kwake napata vyote ananitoshelesha,kwangu moyoni amekaa..
Amenipa uzima,uzima wa milele..
Anipenda Yesuu,ninampenda yesu wanguu..
 
Ni Kama upo kwenye Tenzi za Rohoni mkuu.

Huna mashairi zaidi kidogo?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…