Bakulutu
JF-Expert Member
- Nov 30, 2011
- 2,544
- 1,760
Huu ni utapeli wa style fulani, yawezakana ulisha kuwepo ila kwangu ndio nimekutana nao jana na leo asubuhi ndio nikashtuka baada ya kuambiwa sasa tuma pesa ili tununue hii tender documents kwa sababu tumeona kampuni yako ndio inauwezo wa ku supply hizi huduma kweye picha
Namba ya anaejifanya ndio msamamizi wa mradi:
067 752 9340 na huyu 0714976568 ndie muhasibu feki anasema sasa tuma pesa ya tender
View attachment 1224418
Namba ya anaejifanya ndio msamamizi wa mradi:
067 752 9340 na huyu 0714976568 ndie muhasibu feki anasema sasa tuma pesa ya tender
View attachment 1224418