Mimi mwenzenu wakati nahamia Kigoma nilikutana na wale wazee wa karata 3 pale kwa bela walioko Kigoma wanapajua. Walitaka kinila pesa, ila sikua na za kutosha wakachukua sim yangu. Kilichotokea........
Nilienda kuwachukua vijana wenzangu kama 20 hivi, tulienda kuwachakaza na kuwapeleka central police.
Mbona sim ilirudisha siku ya pili. Hadi naondoka Mkoa ule wale vijana walikua marafiki zangu. Na mchezo ulisimama kwa mda wa wiki 2. Walikua wanauguza vidonda, police walitupa hongera kwa kazi nzuri.